Utumishi hapa wamenichanganya

Utumishi hapa wamenichanganya

Masue 1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
696
Reaction score
1,222
Wadau mambo Vipi? Mimi nina Shahada ya Masoko ila Utumishi nafasi walizotangaza za Afisa Biashara ii nikiomba naambiwa sina vigezo je shida nin? Vigezo hivyo hapo.

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Biashara waliojiimarisha katika fani ya Masoko, au Uendeshaji Biashara kutoka katika Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali
 
Tatizo la wengi Hilo mkuu sijui wenyewe wanahitaji watu wataaluma ipi kama afisa habari inakataa mtu mwenye shahada ya masscommunication huoni hapo kuna jambo limejificha
 
Shida mnakomaa kuomba kazi za watu ambae mafile yao yameshapigwa mihuli wa navuta mda tu wayaweke kwenye computer
 
Wanahitaji Malaika tu ndio waombe kazi, baada ya kupanda mishahara sasa serikali inataka kuajiri Malaika
 
Wadau mambo Vip? Mimi nina Shahada ya Masoko ila Utumishi nafasi walizotangaza za Afisa Biashara ii nikiomba naambiwa sina vigezo je shida nin? Vigezo hivyo hapo.

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Biashara waliojiimarisha katika fani ya Masoko, au Uendeshaji Biashara kutoka katika Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali
Mkuu ile system.yanutumishi ni matching system ...yaan inataka taarifa zako za academic qualification zi match exactly na wao walicho kiandika

Haan kama wao ktk qualification walisema wanataka mtu mwenye BBA in marketing basi ww mwenye B in Marketing system ina kutoa ili hali ukisoma yale majukumu ya iyo post ata watu wa marketing wana pigaa.....

Hapo ku solve huwezi, zaman wengi walikuwa wana rejeanktk academic qualification alafu wana adjust ili imatch na system lkn ukifika ktk usaili kule mzee hutoingia watakutoa watakwambia umechezea system
 
Mkuu ile system.yanutumishi ni matching system ...yaan inataka taarifa zako za academic qualification zi match exactly na wao walicho kiandika


Haan kama wao ktk qualification walisema wanataka mtu mwenye BBA in marketing basi ww mwenye B in Marketing system ina kutoa ili hali ukisoma yale majukumu ya iyo post ata watu wa marketing wana pigaa.....

Hapo ku solve huwezi, zaman wengi walikuwa wana rejeanktk academic qualification alafu wana adjust ili imatch na system lkn ukifika ktk usaili kule mzee hutoingia watakutoa watakwambia umechezea system
What if nina two degrees?
Mfano mwaka 2018 nilipata Bachelor of economics na mwaka huu nikapata BBA marketing, nimeaply kazi ya afisa biashara. Wataangalia degree ipi, ya kwanza niliyoipata 2018 au hii ya mwaka huu?
 
What if nina two degrees?
Mfano mwaka 2018 nilipata Bachelor of economics na mwaka huu nikapata BBA marketing,nimeaply kazi ya afisa biashara.wataangalia degree ipi, ya kwanza niliyoipata 2018 au hii ya mwaka huu?
Sasa hapo mkuu ni wao na system yao korofi
 
Kama mm nina Bachelor Degree of Science in Economics and Finance. Nikiomba Uchumi, Financial Management Officer, planning Officer eti inagoma wakati. Wamejiwekea categories kwa kutokujua vyuo vya Tanzania vina kozi zipi walijiandikia tu.
 
Kama mm nina Bachelor Degree of Science in Economics and Finance. Nikiomba Uchumi, Financial Management Officer, planning Officer eti inagoma wakati. Wamejiwekea categories kwa kutokujua vyuo vya Tanzania vina kozi zipi walijiandikia tu.
Hatareee mkuu
 
Hii system haipo Sawa Kabisa....Inachekesha kama sio kusikitisha.
 
Wadau mambo Vipi? Mimi nina Shahada ya Masoko ila Utumishi nafasi walizotangaza za Afisa Biashara ii nikiomba naambiwa sina vigezo je shida nin? Vigezo hivyo hapo.

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Biashara waliojiimarisha katika fani ya Masoko, au Uendeshaji Biashara kutoka katika Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali
system imesetiwa ingekua business administration in marketing sawa lakini bachelor degree ya marketing tu system inakutema syatem yao unatema watu wengi sana ambao kimaono wamequalify

u
 
system imesetiwa ingekua business administration in marketing sawa lakini bachelor degree ya marketing tu system inakutema syatem yao unatema watu wengi sana ambao kimaono wamequalify

u
Mimi ni Bachelor of Commerce in Marketing ila imegoma..
 
Wadau mambo Vipi? Mimi nina Shahada ya Masoko ila Utumishi nafasi walizotangaza za Afisa Biashara ii nikiomba naambiwa sina vigezo je shida nin? Vigezo hivyo hapo.

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Biashara waliojiimarisha katika fani ya Masoko, au Uendeshaji Biashara kutoka katika Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali
Pigen simu ....wanarekebishaaa
 
Back
Top Bottom