Utumishi hii sio sawa, kuna watu mmewanyima haki yao

Utumishi hii sio sawa, kuna watu mmewanyima haki yao

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Kuna interview zimeanza Jana Kada ya afya ila Kuna baadhi ya wasimamizi sijui ni kwa maksudi ama bahati mbaya wameamua kuharamisha mchakato mzima wa usahili.

Natolea mfano kituo cha Zanzibar Unguja kuna watahiniwa wameruhusiwa kufanya interview wakiwa hawana leseni za MCT Bali Wana leseni za Zanzibar ambazo huku Tanganyika hazitambuliki wakati huo huo huku bara Kuna watu wamezuhiwa kufanya usahili kisa tu hawana hiyo leseni japokuwa mchakato mzima wa kulipia hiyo leseni ushafanyika na wameshakuwa registered na MCT kama madaktari isipokuwa tu leseni haijatoka kwa muda muafaka.
 
Kuna interview zimeanza Jana Kada ya afya ila Kuna baadhi ya wasimamizi sijui ni kwa maksudi ama bahati mbaya wameamua kuharamisha mchakato mzima wa usahili.

Natolea mfano kituo Cha Zanzibar Unguja Kuna watahiniwa wameruhusiwa kufanya interview wakiwa hawana leseni za MCT Bali Wana leseni za Zanzibar ambazo huku Tanganyika hazitambuliki wakati huo huo huku bara Kuna watu wamezuhiwa kufanya usahili kisa tu hawana hiyo leseni japokuwa mchakato mzima wa kulipia hiyo leseni ushafanyika na wameshakuwa registered na MCT kama madaktari isipokuwa tu leseni haijatoka kwa muda muafaka.
Vigezo lazima vifatwe leseni ni kupewa leseni sio kulipiwa! Ukienda kwenye usaili hakikisha una kila kitu muhimu wengine kusamehewa sio utetezi kwako! Leseni unatakiwa kuwa nayo ! Kulipia leseni sio kuwa na leseni
 
Back
Top Bottom