Utumishi msimtie aibu Waziri Jenista Mhagama

Utumishi msimtie aibu Waziri Jenista Mhagama

Cute sall

Member
Joined
Dec 1, 2022
Posts
15
Reaction score
21
Mheshimiwa Jenista Mhagama hivi karibuni alinukuliwa akiuleza Umma kuwa wata Ajiri kupiti mfumo hifadhi wa Utumishi takribani nafasi 1769 zitatumika kua Ajiri kupitia Data base ya utumishi mwezi February 2023

Hivyo nawaomba utumishi kutomuangusha Mheshimiwa na kumfanya aonekane muongo.

Endapo kuna changamoto yoyote kulingana na vikao vyenu ni vyema ikatoka kauli mbadala kabla ya February ili kuendelea kuidumisha heshima ya Idara yenu na ya Mheshimiwa pia.

Hata hivyo niwaombe utumishi kufuatilia kwa karibu mno watu wote ambao hawaja report makazini kwa muda wa taratibu zenu ili kujua sababu za kuto report kama zina tija zifanyiwe kazi na kama hazina tija nafasi hizo zirudi kwa wenye sifa ikiwezekana kuwe na kitengo hicho cha ufuatiliaji,tusisubiri mpka lifike na kusemwa na mheshimiwa Raisi litapoteza mno imani yake kwenu.

Ni jambo gumu kutozifanyia kazi nafasi zilizo wazi katika idara/tassis hali ya kuwa idara imetumia nguvu nyingi kuomba kibali hicho cha ajira na watu mnao katika Database yenu/Kuzitangaza upya

Nawatakia utumishi mwema katika kutekeleza majukumu yenu mungu awabariki.

Ni ushauri tu.

Tanzania yetu sote
Kazi iendeleeee
 
Fafanua au ikibidi andika kwa English, sijaelewa kabisa Mkuu
Mheshimiwa Jenista Mhagama hivi karibuni alinukuliwa akiuleza Umma kuwa wata Ajiri kupiti mfumo hifadhi wa Utumishi takribani nafasi 1769 zitatumika kua Ajiri kupitia Data base ya utumishi mwezi February 2023
 
Swali langu lilikuwa ufafanuzi wa hiyo kauli, nilitaka kujua alisema nini hasa,maana kwenye uzi sijaelewa kwa lugha rahisi waziri kasema nini
Kauli ya mheshimiwa Waziri ya mwezi February ifanyiwe kazi thats all
 
Swali langu lilikuwa ufafanuzi wa hiyo kauli, nilitaka kujua alisema nini hasa,maana kwenye uzi sijaelewa kwa lugha rahisi waziri kasema nini
Screenshot_20230208-213310.png
 
Wewe huna jipya, wala hauna ushauri wa maana hapo ulichoangalia ni kuwa unahisi upo kwenye kanzi data kwaiyo unaona kama wasipoitumia utakosa ajira
 
Wewe huna jipya, wala hauna ushauri wa maana hapo ulichoangalia ni kuwa unahisi upo kwenye kanzi data kwaiyo unaona kama wasipoitumia utakosa ajira
Sipo huko unakodhani na wala sipambanii chochote kile ila nimetoa ushauri tu kutokana na kauli ile
 
Wewe huna jipya, wala hauna ushauri wa maana hapo ulichoangalia ni kuwa unahisi upo kwenye kanzi data kwaiyo unaona kama wasipoitumia utakosa ajira
Ameongea facts unampinga bila hoja lete hoja za msingi watu wenye akili wakuelewe
 
Mheshimiwa Jenista Mhagama hivi karibuni alinukuliwa akiuleza Umma kuwa wata Ajiri kupiti mfumo hifadhi wa Utumishi takribani nafasi 1769 zitatumika kua Ajiri kupitia Data base ya utumishi mwezi February 2023

Hivyo nawaomba utumishi kutomuangusha Mheshimiwa na kumfanya aonekane muongo.

Endapo kuna changamoto yoyote kulingana na vikao vyenu ni vyema ikatoka kauli mbadala kabla ya February ili kuendelea kuidumisha heshima ya Idara yenu na ya Mheshimiwa pia.

Hata hivyo niwaombe utumishi kufuatilia kwa karibu mno watu wote ambao hawaja report makazini kwa muda wa taratibu zenu ili kujua sababu za kuto report kama zina tija zifanyiwe kazi na kama hazina tija nafasi hizo zirudi kwa wenye sifa ikiwezekana kuwe na kitengo hicho cha ufuatiliaji,tusisubiri mpka lifike na kusemwa na mheshimiwa Raisi litapoteza mno imani yake kwenu.

Ni jambo gumu kutozifanyia kazi nafasi zilizo wazi katika idara/tassis hali ya kuwa idara imetumia nguvu nyingi kuomba kibali hicho cha ajira na watu mnao katika Database yenu/Kuzitangaza upya

Nawatakia utumishi mwema katika kutekeleza majukumu yenu mungu awabariki.

Ni ushauri tu.

Tanzania yetu sote
Kazi iendeleeee
Hadi sasa tushaona ni wasanii tuu yalikua ni maigizo february imeisha bilabila
 
Kauli za wanasiasa usiziamini. Kipindi cha bajeti alisema kwa bajeti iliyoanza July 2022/2023 usaili ungefanyika kwa Kanda lakini wameita kwenye Kanda TRA, LGAs na MDA zingine mpaka Dodoma.
 
Mheshimiwa Jenista Mhagama hivi karibuni alinukuliwa akiuleza Umma kuwa wata Ajiri kupiti mfumo hifadhi wa Utumishi takribani nafasi 1769 zitatumika kua Ajiri kupitia Data base ya utumishi mwezi February 2023

Hivyo nawaomba utumishi kutomuangusha Mheshimiwa na kumfanya aonekane muongo.

Endapo kuna changamoto yoyote kulingana na vikao vyenu ni vyema ikatoka kauli mbadala kabla ya February ili kuendelea kuidumisha heshima ya Idara yenu na ya Mheshimiwa pia.

Hata hivyo niwaombe utumishi kufuatilia kwa karibu mno watu wote ambao hawaja report makazini kwa muda wa taratibu zenu ili kujua sababu za kuto report kama zina tija zifanyiwe kazi na kama hazina tija nafasi hizo zirudi kwa wenye sifa ikiwezekana kuwe na kitengo hicho cha ufuatiliaji,tusisubiri mpka lifike na kusemwa na mheshimiwa Raisi litapoteza mno imani yake kwenu.

Ni jambo gumu kutozifanyia kazi nafasi zilizo wazi katika idara/tassis hali ya kuwa idara imetumia nguvu nyingi kuomba kibali hicho cha ajira na watu mnao katika Database yenu/Kuzitangaza upya

Nawatakia utumishi mwema katika kutekeleza majukumu yenu mungu awabariki.

Ni ushauri tu.

Tanzania yetu sote
Kazi iendeleeee
Kwa kweli!
Mhhhh kwanza hii ya kuchelewesha majibu ya Oral ili watu wapangiwe vituo vya kazi inaongeza stress kwa vijana
 
Database inatema kwa speed ya konokono mpka iishe hizo 1769 sfr bado ndefu sn
 
Kama wanataka kutumia kanzi data basi waangalie watu waliofanya usaili huko nyuma kuanzia 2017 Hadi sasa ,nasema Hivi kwa sabau gani Kuna watu waliofanya usaili mwaka 2019 wakiwa na miaka 25 hawakuitwa kazini Kutokana na nafasi kuwa chache wahitaji ni wengi lakini hawakuitwa .. usaili unaokuja anakuwa na miaka 26 ,Kutoka na vigezo vya waombaji wameekewa limitation Miaka 18 Hadi 25 Sasa Kutokana na limitation hizi watu wanakosa nafasi ungali Bado wana nguvu ya kuitumikia taifa ,mtu katumia gharama kubwa Sana mpaka anamaliza chuo mamilioni ya ada lakini ukifika kuajiriwa unawekewa Tena age limit

Kuna baadhi ya taasisi siwezi kuwataja hapa wana hizo tabia ya kubagua ,watu kwa hivo vigezo vyao ...sisi sote watanzania na Kila mmoja anapambana Ili apate tonge /riziki lakini Kuna baadhi ya watumishi ni mwiba Sana kwenye hizo nafasi . kwanini wasiweke miaka ambayo mtu yeyote hawezi kulalama mfano miaka 18-45 Au hata miaka 18-35 age limit kusema ukweli kero Sasa Hivi ni limitation kwenye umri wa kuajiriwa miaka 25 ni uonevu mkubwa Sana
 
Back
Top Bottom