Utumishi na TPA

Utumishi na TPA

Kadoli

New Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
3
Reaction score
4
Poleni sana msiba mzito wa mtumishi mwenzenu kazi ya mungu haina makosa

Hongereni kwa kazi njema mnayoifanya ya kuwapigania watoto wa maskini nao kupata fulsa katika taasisi mbali mbali

Ila hapa TPA mlileta watumishi wapya katika matangazo mawili ya walioitwa kazini ambao ni security guard ,operator na security assistant ni jambo jema mno ila tangu vijana hao waripoti kwa mwajiri wao hakuna kinachoendelea hadi sasa wapo katika kusikilizia utaratibu hadi leo.

Inasemekana bado mamlaka inawadai watumishi katika nafasi za security assistant (3) na security assistant officer (1) wanawasubiri watu hao ili wanze semina kwa pamoja hivyo kama nguvu kazi hizo hazipo ni imani yetu mtawatangazia upya na vijana wenye sifa waweze kujaza nafasi hizo huku mchakato wa hawa ambao tayari ukiendelea kuhakikisha wanaingia katika majukumu ya kulijenga taifa.

Nawapongeza kwa kazi nzuri mnayoifanya mungu awabariki sana vijana.
 
Ila hii nchi, ukiangalia ufanisi na kasi ya utendaji wa NIDA, Sekretarieti ya ajira, jeshi la zimamoto na uokoaji, timu ya taifa (taifa stars), shirika la umeme, mitandao ya simu, n.k daah bora tu nikae kimya...

Itoshe tu kusema, nchi (pamoja na mambo yake yote) tunaipenda, acha tu tuivumilie.
 
Ila hii nchi, ukiangalia ufanisi na kasi ya utendaji wa NIDA, Sekretarieti ya ajira, jeshi la zimamoto na uokoaji, timu ya taifa (taifa stars), shirika la umeme, mitandao ya simu, n.k daah bora tu nikae kimya...

Itoshe tu kusema, nchi (pamoja na mambo yake yote) tunaipenda, acha tu tuivumilie.
Kwakweli yani ila kama wamekosa watu wa kujazia basi watangaze upya kibali si wanacho kuliko kuzoletesha hata hawa ambao tayari ambao wanasubiri wenzao wanze semina ya mafunzo
 
Ila hii nchi, ukiangalia ufanisi na kasi ya utendaji wa NIDA, Sekretarieti ya ajira, jeshi la zimamoto na uokoaji, timu ya taifa (taifa stars), shirika la umeme, mitandao ya simu, n.k daah bora tu nikae kimya...

Itoshe tu kusema, nchi (pamoja na mambo yake yote) tunaipenda, acha tu tuivumilie.
Secretariat ya Ajira ndio jipu kabisa . Wametangaza Ajira tangub june tumeomba ni Received todate. Kama hatuna qualifications si tujulishwe kuliko hiyo Received then kimya. Waendele tu kuwapa Ajira waliomaliza 2021 sisi wa 201---- tusote Mtaani Kwa Makosa Yao.
 
Back
Top Bottom