sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Habari za muda huu,
Naamini nafasi za uongozi zinahitaji watu wenye akili na uelewa (intelligence), siyo tu kuwa na ushawishi au pesa. Tanzania kwa sasa, tunaongozwa na watu wenye nguvu ya ushawishi wa kifedha kama wabunge na madiwani. Ili tuwe na viongozi bora wanaozingatia uwajibikaji (accountability), kwa nini Utumishi wa Umma (PSRS) wasitunge mitihani ya mchujo kwa viongozi wanaochaguliwa ili kupima uelewa wao?
Siyo tu kupima watumishi wengine; ni muhimu kuanza na viongozi wetu, ambao wengine wanadhaniwa kukosa uimara wa afya ya akili katika uongozi wao.
Naamini nafasi za uongozi zinahitaji watu wenye akili na uelewa (intelligence), siyo tu kuwa na ushawishi au pesa. Tanzania kwa sasa, tunaongozwa na watu wenye nguvu ya ushawishi wa kifedha kama wabunge na madiwani. Ili tuwe na viongozi bora wanaozingatia uwajibikaji (accountability), kwa nini Utumishi wa Umma (PSRS) wasitunge mitihani ya mchujo kwa viongozi wanaochaguliwa ili kupima uelewa wao?
Siyo tu kupima watumishi wengine; ni muhimu kuanza na viongozi wetu, ambao wengine wanadhaniwa kukosa uimara wa afya ya akili katika uongozi wao.