Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Salaam wakuu,nimepata simu kwa mshikaji wangu kuwa nimeitwa kwenye usaili tar 15 dec ila akanambia nifuatilie zaidi.
Wakuu mie nipo huku TANDAHIMBA nachonga vinyago vya kimakonde sasa inakua ngumu kupata access nzur ya internet cafe,may you please assist us to put those names ili na sie wenye simu tuweze kuona?
Tusaidieni ili nianze kutafuta nauli wakuu,naomba kuwasilisha.
Wakuu mie nipo huku TANDAHIMBA nachonga vinyago vya kimakonde sasa inakua ngumu kupata access nzur ya internet cafe,may you please assist us to put those names ili na sie wenye simu tuweze kuona?
Tusaidieni ili nianze kutafuta nauli wakuu,naomba kuwasilisha.