Utumishi wameita tena

SOKETI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2010
Posts
206
Reaction score
50
Nimepata habari kuwa Secretariati ya Ajira imeita tena watu kwenye interview itakayo fanyika DUCE tarehe 15 mwezi huu; Kwa yeyote anayeweza kudownload majina ya watu wanaohiotajika atusaidie kuyaweka humu na sisi tunaotumia simu tuweze kuyaona
Natanguliza shukrani za dhati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…