Habari.
Kwa kinachoendelea hakiitaji maelezo mengi sekretarieti ya ajira (PSRS) wamekuwa dhaifu na wamelewa.
Mpaka leo kilio cha wasaka ajira kupitia utumishi ni kile kile.
1.Kuchelewa kuita watu makazini kitu ambacho wao usema ni michakato sidhani kama ni lugha nzuri kwa sasa imezoeleka kutoka kufanya oral mpaka kuitwa kazini Mara zote imekua miezi 2 hadi 6 baada ya usaili.
2.Matangazo ya ajira yameongezeka zaidi kwa upande wa Halmashauri tofauti na miaka ya zamani tuliziona taasisi nyingi zikitoa matangazo ya ajira.
3.Kuchelewa kuita watu kwa usaili imekuwa kawaida mtu akiomba kazi kuanzia miezi 2 hadi mwaka ndipo wanaitisha usaili huu kwangu mimi naita Udhaifu na si mchakato.
4.Database (Kazidata) imekuwa yenye kurundika watu na kushindwa kuimaliza kwa wakati na mwisho wa siku inawabidi kuita watu kazini zaidi ya mwaka kama walivyofanya kwenye mikeka ya kuanzia mwezi wa sita mwaka huu au mwisho kutoka Matangazo mapya ya ajira.
Kwa Hali iliyofikia Utumishi imekuwa ni dhaifu na isiyo na DIRA tena kwa wasaka ajira.
Inatakiwa Transformation kubwa ifanyike ya.
1. Kuita watu usaili ndani ya mwezi mmoja Hadi miwili.
2. Kuita watu kazini kwa wakati mwezi mmoja Hadi miezi miwili.
Nje na Hapo kuna jipu linatengenezwa tutakuja kuliona miaka ya baadae.
Kwa kinachoendelea hakiitaji maelezo mengi sekretarieti ya ajira (PSRS) wamekuwa dhaifu na wamelewa.
Mpaka leo kilio cha wasaka ajira kupitia utumishi ni kile kile.
1.Kuchelewa kuita watu makazini kitu ambacho wao usema ni michakato sidhani kama ni lugha nzuri kwa sasa imezoeleka kutoka kufanya oral mpaka kuitwa kazini Mara zote imekua miezi 2 hadi 6 baada ya usaili.
2.Matangazo ya ajira yameongezeka zaidi kwa upande wa Halmashauri tofauti na miaka ya zamani tuliziona taasisi nyingi zikitoa matangazo ya ajira.
3.Kuchelewa kuita watu kwa usaili imekuwa kawaida mtu akiomba kazi kuanzia miezi 2 hadi mwaka ndipo wanaitisha usaili huu kwangu mimi naita Udhaifu na si mchakato.
4.Database (Kazidata) imekuwa yenye kurundika watu na kushindwa kuimaliza kwa wakati na mwisho wa siku inawabidi kuita watu kazini zaidi ya mwaka kama walivyofanya kwenye mikeka ya kuanzia mwezi wa sita mwaka huu au mwisho kutoka Matangazo mapya ya ajira.
Kwa Hali iliyofikia Utumishi imekuwa ni dhaifu na isiyo na DIRA tena kwa wasaka ajira.
Inatakiwa Transformation kubwa ifanyike ya.
1. Kuita watu usaili ndani ya mwezi mmoja Hadi miwili.
2. Kuita watu kazini kwa wakati mwezi mmoja Hadi miezi miwili.
Nje na Hapo kuna jipu linatengenezwa tutakuja kuliona miaka ya baadae.