Utumishi wamesitisha kuita watu kwenye usaili?

Utumishi wamesitisha kuita watu kwenye usaili?

swaki

Member
Joined
May 31, 2022
Posts
11
Reaction score
5
Kuna kazi Utumishi walitangaza kwanzia mwezi wa nne na nyingine mwezi wa tano ila sasa tupo wa nane na bado hawajita watu kwenye usahili.
 
Kuna kazi Utumishi walitangaza kwanzia mwezi wa nne na nyingine mwezi wa tano ila sasa tupo wa nane na bado hawajita watu kwenye usahili.
Copy & Paste

Kuwa na subira wataita tuu
Punguza mchecheto!

Badala yake tumia nafasi (chance) hiyo ya kuchelewa kwao kwa wewe kujiandaa zaidi na zaidi; ushindani huwa ni mkubwa sana (watu huwa ni wengi)

Inasemekana kwa sasa wako katika mikoa na wilaya mbalimbali za Tanzania kusimamia michakato ya ajira za Halmashauri za watendaji wa vijiji, watunza kumbukumbu, madereva, na makatibu mahsusi (muhtasi)......zamu kwa zamu
 
Copy & Paste

Kuwa na subira wataita tuu
Punguza mchecheto!

Badala yake tumia nafasi (chance) hiyo ya kuchelewa kwao kwa wewe kujiandaa zaidi na zaidi; ushindani huwa ni mkubwa sana (watu huwa ni wengi)

Inasemekana kwa sasa wako katika mikoa na wilaya mbalimbali za Tanzania kusimamia michakato ya ajira za Halmashauri za watendaji wa vijiji, watunza kumbukumbu, madereva, na makatibu mahsusi (muhtasi)......zamu kwa zamu
Sawa asante 🙏🏿
 
Acha kiherehere na Mhao,wakati unasubiri hizo nafasi kuitwa kwenye Interview ni vema ukafanya shughuli nyingine ya kujiongezea kipato kuliko kupoteza muda kuanzisha Mada JF,unategemea Utumishi wana Ofisi JF kwamba watakujibu??Non sense
 
Acha kiherehere na Mhao,wakati unasubiri hizo nafasi kuitwa kwenye Interview ni vema ukafanya shughuli nyingine ya kujiongezea kipato kuliko kupoteza muda kuanzisha Mada JF,unategemea Utumishi wana Ofisi JF kwamba watakujibu??Non sense
Asante kwa maoni yako
 
Watu wanafunga hesabu na kufungua maana mwaka wa fedha ndo umeanza hivyo vitu vingi vimesimama hata ajira mpya wengine hawajalipwa pesa ya kujikimu licha ya kuajiriwa mda mrefu maana mfumo wa malipo ulifungwa hvyo kuwa na subra kiongozi.
 
Watu wanafunga hesabu na kufungua maana mwaka wa fedha ndo umeanza hivyo vitu vingi vimesimama hata ajira mpya wengine hawajalipwa pesa ya kujikimu licha ya kuajiriwa mda mrefu maana mfumo wa malipo ulifungwa hvyo kuwa na subra kiongozi.
Sawa mkuu
 
Mkuu humu JF sio kila mtu anamoyo wa kusaidiia watu wanachuki mnoo wengine.
Sasa kama mtu hataki kukusaidiia si akaushee kuliko kujibu majibu kama haya yasiyo na Utu.
watu kama hawa wakipewa teuzi ndio wanakujaga kusema Vijana tuji ajiriii.
 
Mkuu humu JF sio kila mtu anamoyo wa kusaidiia watu wanachuki mnoo wengine.
Sasa kama mtu hataki kukusaidiia si akaushee kuliko kujibu majibu kama haya yasiyo na Utu.
watu kama hawa wakipewa teuzi ndio wanakujaga kusema Vijana tuji ajiriii.
😅 inabidi ukubaliane na majibu yote maana hakuna namna .. wapo watakao kusaidia na majibu na wapo ambao watakujibu kwa namna wanavyoona wao cha msingi ni kuchukua majibu yenye msaada na swali nililouliza
 
Kuna kazi Utumishi walitangaza kwanzia mwezi wa nne na nyingine mwezi wa tano ila sasa tupo wa nane na bado hawajita watu kwenye usahili.
Waitaji watakuwa kwenye sensa, subir zoez liishe
 
Jamani niliomba kazi Utumishi lakini silioni jina langu kwenye orodha ya walioitwa kufanya usaili, ni utaratibu gani niufuate ili jina langu liwe miongoni mwa majina ya nyongeza?
 
Back
Top Bottom