Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi utumishi wanaposema MDs ndio wana maana gani?
Mfano kazi za afisa biashara, mtu ukibahatika kupata ndio kusema utapelekwa huko Nanjilinji vijijini au ndio utakua Dar es Salaam tu?
MDA inahusisha pia Ministries, ni Ministries, Departments and Agencies, Agencies ndo hizo ulizotaja hapoLGA's
Local Government Athorities (Serikali za mitaa,, kwa maana ya Halmashauri za Miji, majiji na Wilaya)
MDA:Ni mashirika ya Umma
Tanesco, TPA, TRA, NHIF etc
Kwa hiyo mtu unaweza kunyakua mrija wa Asali NHIF kupitia MDAs?MDA inahusisha pia Ministries, ni Ministries, Departments and Agencies, Agencies ndo hizo ulizotaja hapo
YesKwa hiyo mtu unaweza kunyakua mria wa Asali NHIF kupitia MDAs?
Pamoja na Wizara.LGA's
Local Government Athorities (Serikali za mitaa,, kwa maana ya Halmashauri za Miji, majiji na Wilaya)
MDA:Ni mashirika ya Umma
Tanesco, TPA, TRA, NHIF etc
ukitaka guarantee ya kuishi dar au mijini kaombe kazi kwa wahindi siyo utumishi wa umma.Hivi utumishi wanaposema MDs ndio wana maana gani?
Mfano kazi za afisa biashara, mtu ukibahatika kupata ndio kusema utapelekwa huko Nanjilinji vijijini au ndio utakua Dar es Salaam tu?
LGA's
Local Government Athorities (Serikali za mitaa,, kwa maana ya Halmashauri za Miji, majiji na Wilaya)
MDA:Ni mashirika ya Umma
Tanesco, TPA, TRA, NHIF etc
Kwa mfano ,kwenye hizi MDAs kada ya maliasili na utalii mtu anaweza pangiwa kazi tawa, tanapa ama NcaaMDA's=M stands for Ministries,
D stands for Independent Departments eg Tume ya Uchaguzi, n. K, A stads for Executive Agencies
Bila kusahau TFSKwa mfano ,kwenye hizi MDAs kada ya maliasili na utalii mtu anaweza pangiwa kazi tawa, tanapa ama Ncaa