Je ni haki Wauguzi kama RN kufanya kazi masaa kumi na mbili kwa siku, siku sita kwa wiki kwa mshahara wa jumla wa Tshs. 300,000.00 kwa mwezi ? Kwa hesabu za haraka haraka ni kwamba analipwa Tshs. 1,000 kwa saa (chini ya dola moja !). Hiki ni kiwango wanacholipwa Waswahili tu. Jamani napata kwi kwi kwa hasira, je tuna sheria za kazi ? (masaa 72 kwa wiki bila overtime)
Tatizo si kuangalia hospitali zingine wanalipwaje,suala sheria mpya ya kazi na mahusiano kazini namba 6 ya mwaka 2004 inafuatwa?na kama haifuatwi kwanini wahusika hawachukuliwe hatua kama taratibu za nchi na sheria hii inavyosema na kuelekeza?
Tatizo si kuangalia hospitali zingine wanalipwaje,suala sheria mpya ya kazi na mahusiano kazini namba 6 ya mwaka 2004 inafuatwa?na kama haifuatwi kwanini wahusika hawachukuliwe hatua kama taratibu za nchi na sheria hii inavyosema na kuelekeza?
Tuambie pia na wahindi wanalipwa TShs. ngapi ili tupate picha kamili.
Tatizo si kuangalia hospitali zingine wanalipwaje,suala sheria mpya ya kazi na mahusiano kazini namba 6 ya mwaka 2004 inafuatwa?na kama haifuatwi kwanini wahusika hawachukuliwe hatua kama taratibu za nchi na sheria hii inavyosema na kuelekeza?
Laki tatu ni nyingi kama ni gross salary kwa hao wahudumu.
Lete mlinganisho wa wahindi na za Hospitali nyingine
Hawawezi kuchukuliwa hatua kama wafanyakazi hawajapeleka malalamiko yao panapohusika na kisha kufikisha mahakamani.
nawashauri kama mnahisi mnaonewa basi mpo huru kabisa kufikisha shauri lenu sehemu za sheria na sheria itachukua mkondo wake. Kwani sheria ipo wazi kabisa.
Lete malinganisho na wafanyakazi wa hospitali zingine kama Muhimbili, Bugando, Bumbuli, KCMC....ili tuweze kujadili mjadala katika muktadha muafaka
Laki tatu ni nyingi kama ni gross salary kwa hao wahudumu.
Lete mlinganisho wa wahindi na za Hospitali nyingine
Je ni haki Wauguzi kama RN kufanya kazi masaa kumi na mbili kwa siku, siku sita kwa wiki kwa mshahara wa jumla wa Tshs. 300,000.00 kwa mwezi ? Kwa hesabu za haraka haraka ni kwamba analipwa Tshs. 1,000 kwa saa (chini ya dola moja !). Hiki ni kiwango wanacholipwa Waswahili tu. Jamani napata kwi kwi kwa hasira, je tuna sheria za kazi ? (masaa 72 kwa wiki bila overtime)
Ninavyoelewa wachache ambao wamejaribu kufanya hivyo wamenyamazishwa ama kwa kutishiwa au kufukuzwa kazi. Hivyo wengi wanaogopa hata kukohoa - kwanza hata hizo sheria sidhani kama wanazijua.
Mkuu, matatizo ya Aga Khan ni makubwa na yanafahamika; pamoja na kunyamazishwa mimi nadhani wangeorodhesha justified allegations na wapeleke kila sehemu na hata humu ndani!!
Pia nimejiuliza, Tanzania haina manesi wa kutosha, kwa nini wasiache kazi hapo wahamie hospitali nyingine?? maana serikali nayo imeboresha kiasi mafao ya manesi?
Sina data za uhakika ila ni kwamba wanalipwa kwa viwango vya kimataifa ambavyo ni karibu dola kumi kwa saa sawa na Tsh. 10,000.00 !! Naomba mwenye hakika zaidi atupatie data.
Sawa sawa kabisa.
Gross salary siyo net salary - ni malipo ambayo hayajakatwa kodi na madai mengine na RN au Registered nurse ni mtu muhimu sana haspitalini. Nilipo bado natafuta data zaidi lakini kama yuko anayeweza kusaidia, JF ni tambarare.
Ninavyoelewa wachache ambao wamejaribu kufanya hivyo wamenyamazishwa ama kwa kutishiwa au kufukuzwa kazi. Hivyo wengi wanaogopa hata kukohoa - kwanza hata hizo sheria sidhani kama wanazijua.
Wana JF, ningekuwa na data za kuaminika ningezileta ila hapa nilipo imeniwia vigumu kufanya hivyo. Nawaomba wote wenye access na namna ya kuzipata kuhusu hii hospitali na nyingine zozote zile zinazowanyonya wananchi wazitoe. Ninavyojua ni kuwa kama mtu analazimika kufanya kazi zaidi masaa ya ziada yanayoruhusiwa kisheria, alipwe !!