Utundu wa huyu dada unanipagawisha

Utundu wa huyu dada unanipagawisha

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Huyu mrembo mwenye chura matata utundu wake unanichanganya sana, mpaka najiona nimezaliwa upya kwenye mapenzi.

Nikiwa nimelala, anajisogeza sogeza na kujigusisha chura yake kwangu, mara paap mzee anamka na kazi inaendelea.

Wakati mwingine anakuwa anaangaika angaika sana kitandani; mara ajibinue binue, mara anipige pige na chura yake, kweli huyu amezidi utundu.

Akiwa kwenye sofa,anajilaza kiubavu ubavu na kujibinua; kumbe yote ni kunitega mimi tu.

Akiwa ndani anavua nguo zote na kubaki na kanga moja tu inayoonyesha maungo yake, najikuta muda wote anakuwa haniishi hamu.

Kwa sasa siwazi tena mifuko ya simenti, bali namuwaza yeye tu; ama kweli maisha ya mahusiano ni matamu sana pale utakapopata mtu wa kucheza na hisia zako vizuri.​
 
Ila Vijana mnavyojua kusimulia matukio mnafanya hadi Wazee wenu tukumbuke mambo ya Mwaka 47 huko....

Ngoja niangalie namba ya Bibi yenu nimpigie arudi nyumbani, vinginevyo huu usiku utakuwa mrefu sana leo 😜🙌
 
KUMBUKA NI MALI YA SERIKALI NA UKIFANYA TOFAUTI TUTAKUTANGAZA POLISI
GSY2ZwAWwAAXivk.jpg
 
Back
Top Bottom