Utundu wangu unaniweka matatani

Tatizo unalo wewe. Unatumia nguvu nyingi kwa mke wa mtu. Huo ni ushamba. Wapo wanawake wengi tu wasioolewa wa kuwaonesha ufundi wako. Usije sema hukuambuwa.
#CaseClosed
Kwa ushauri tu; usimfuatilie mkeo, na pia simu yake usiguse
 
😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo huyu ndio ulikuwa unasema ni bora kuliko mune wangu😳😳😳😳😳

Alooooh!! Niacheni tu na lizee langu ERoni
Wewe huyu sio mpenzi wewe nawe huyu ni team unique flower juzi tu tulikuwa huko uarabuni tunawatch mechi Kwa hisani ya coca cola tulipewa offer vacation wewe na lizee lako Kwa hisani ya gongoo mko hapo kwenu mnashinda mkishangaa.
 
Nikikuwa naumwa dear ndio maana umenipita tuuu
Walichambaa team leader wetu alikuwa zuzu walimwekea limbwata yupo yupo tu hajui chochote hebu mwambie Cillah tulivyokwenda huko quatar kufungua mechi ya kwanza mwambie hebu .Maana anaringa sana na kizee chake
 
...Utoto Raha Sana! [emoji57]
 
Mambo na wake za watu huwa hayaishi vizuri, sijui hata inakuaje mtu unapata ujasili Kulala na mke wa mtu...
 
Nina ushuhuda kamili kwa macho yangu alichofanywa jamaa kwa kula mke wa mtu. (Apumzike kwa amani jamaa.) Kijana mke wa mtu ni mtamu sana lakini omba sana Mungu yasije kukukuta[emoji1][emoji1].
Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Kutembea na mke wa mtu alafu unakuja kujitamba humu binafsi naona km una utoto mwingi na upunguani ndani yake. Wanawake wote hawa mitaani ya kazi gani kujitafutia mabalaa kwa wake za watu??
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…