Utungisho wa mimba


hapo nilipo-bold in red nadhani unahitaji kutoa ufafanuzi zaidi...y substracting 18 days then again you substract 11 days...kipi ndo kipi hapo???
 

chief hapo nilipo-bold unakuwa kama una-tulazimisha tukubali unachojuwa wewe na bila wewe kutujuza kuwa ni mtaalamu katika eneo hilo au umefanya research kwa kiwango gani..au kuwa ndivyo ulivyofundishwa shuleni ...bila kusahau kuwa kuna exceptional cases za 1/1000 cases za watu kuwa na mzunguko wa 15 days au hata wa 60 days....lazma kuwe na special approach kwa wtu wa mizunguko yote mirefu na mifupi
 
Huyo ovulation yake ni siku ya 20nitakuja kukueleza baadae nipo busy now ila from siku ya 18 toka alipoanza kubleed hadi 22 piga game

Ahsante Dr.kwa ushauri mwanana je nisigegede mpaka siku hiyo ya 18?
 
ndio nilibakwa naninaendelea kubakwa hahahahahah kama mtu anataka kitu we hutaki si kubakwa huko.

Jamaa lako kumbe linalazimisha gemu matokeo yake mnapata watoto wa bahati mbaya
 
@Nyuzo cheki kwenye google pregnacy calculator inasema siku ya 23so piga game siku ya 19 na20 pumzika tena piga 22 na 23 isipotiki cheki matatizo mengineila angalia iyo calculatot kwa google
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…