Utunzaji wa nywele za asili

Apa nna Afro balaa kama la Shmateo,,ila Tatizo nywele zangu waga hazisimami nikizichana zinashuka akati ni ndefu kinyama yaani!!
 



Kitengo kinaninyanyasa sana hiki cha nywele. Kuna hii kuweka vitu vya kisasa, madawa, mawigi n.k.,Mimi sipatani na madawa na harufu za hizi mambo kabisa.Na wenzetu hicho kitengo ndo huwaambii kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…