Kuna Majanga mengi huwa yanatokea mfano Pompeii Volcano ilifunika mji mzima..... Ingawa leo kuna watu kama milioni tatu wanakaa karibia na Mount Vesuvius ingawa Volcano inaweza ikafanya yake tena...Dah inaonekana na wakati huo wa 1900 lilikuwa hatar sana maana la sasa limeuwa wengi kutokana na hii mijengo ya sasa ya nyumba zinazopandiliana kwa juu
Kilimanjaro is a large dormant stratovolcano composed of three distinct volcanic cones: Kibo, the highest; Mawenzi at 5,149 metres (16,893 ft); and Shira, the lowest at 4,005 metres (13,140 ft). Mawenzi and Shira are extinct, while Kibo is dormant and could erupt again.Kilimanjaro ni km mfu tu sidhani km utakuja kulipuka
Kizazi hiki kinataka big results now. Geology as well as astronomy we are talking of billion years! None is interested.Nyuzi sensitive kama hizi Huwa hazipati wachangiaji[emoji848][emoji848]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hiv hakuna technology ya kutabiri volcano?Kilimanjaro is a large dormant stratovolcano composed of three distinct volcanic cones: Kibo, the highest; Mawenzi at 5,149 metres (16,893 ft); and Shira, the lowest at 4,005 metres (13,140 ft). Mawenzi and Shira are extinct, while Kibo is dormant and could erupt again.
kama vile wanavyoweza kutabiri hali ya hewa kutokana na tell tell signs ndio hivyo kwa Volcano ila ili kuweza kutabiri inabidi milima ambayo ni dormant (imelala na sio dead) iwe monitored...Hiv hakuna technology ya kutabiri volcano?
It is the work of God, Milipuko ya Volcano, Matemeko, Ukame , Mvua kubwa , Upepo mkali yote yapo nje ya HUMAN CONTROL ... hivyo ni Mungu ,,,,Baada ya kuona wadau wanaanza kuleta habari za mwisho wa dunia na wengine kusema huenda kuna mabomu / silaha zinazosababisha haya majanga, naomba tujikumbushe kwamba Matetemeko kwa Uturuki sio jambo la ajabu na on record yalishatokea hata miaka ya 1900 na kuua zaidi ya watu laki mbili.
Kwahio mfano tunajua kabisa kwamba Mlima Kilimanjaro haujafa na siku Volcano ikifanya yake tusiseme tumemkosea nini Mungu au Mungu anatuadhibu bali tuendelee kuishi huku tukijua inevitability (kwamba kuna siku inaweza kutokea).
Source: Wikipedia - List of earthquakes in Turkey
Ndio maana inawezekana wachaga wenyewe hawapendi kukaa Moshi kwa sababu ya hii kitu...Kilimanjaro is a large dormant stratovolcano composed of three distinct volcanic cones: Kibo, the highest; Mawenzi at 5,149 metres (16,893 ft); and Shira, the lowest at 4,005 metres (13,140 ft). Mawenzi and Shira are extinct, while Kibo is dormant and could erupt again.
Hapana kwa kweli......wapo mbali na nyumbani wakitafuta maisha tu.Ndio maana inawezekana wachaga wenyewe hawapendi kukaa Moshi kwa sababu ya hii kitu...
Volcano, matetemeko lazima yatokee kutokana na mfumo wa dunia ulivyo ni sawa sawa useme unapika chakula kwenye chungu alafu mvuke usitoke au unatembea alafu kusiwe na friction au kujikwaa..., ila tunajua sehemu zipi haya mambo yanatokea kwahio ni kama unakaa jikoni alafu unashangaa kwanini kuna jotoIt is the work of God, Milipuko ya Volcano, Matemeko, Ukame , Mvua kubwa , Upepo mkali yote yapo nje ya HUMAN CONTROL ... hivyo ni Mungu ,,,,
hata huko nyuma hivi vitu vimekuwa vikitokea, na hayo ya njaa kali mfano tungesema tuachane na kufanya utafiti wa broilers na layers n.k. katika mfano kuku tusubiri miezi sita ili kuku akomae (kama alivyotupangi / tulivyopangiwa na nature) huenda sasa hivi kuku mmoja angekuwa zaidi ya Tshs 100,000/= na wengine wangekuwa hawajawahi kula kuku, au kila mtu ingebidi afuge wa kwake kwa ajili ya sikukuuNafikiri tulishaaambiwa Majanga, matetemeko, njaa kali , Vita , vinakuja Mbeleni bila shaka ndio haya Mnayaona leo