unknown animal
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 337
- 51
Heh kumbe uko kwenye ndoa!! Mkeo analo, aniways nimependa style yako ya uandishi inavutia kusoma
Mh una tumaneno teh teh no wonder kadada kanakutega hahah! Thnx n karibuWoow!... u made my day. Sijawai kusifiwa hapa JF. Wewe ni wa kwanza. Thanks for compliment. Angalia na post zangu nyingine zilizopita.
sarikoki tafuta muda ukae na mke wako mtoe hata out umalize mambo yako mzungumze kwa kirefu na kufuta tofauti zenuThank Mr R. Unajua saa ingine huwezi kukwepa majaribu... mke wangu ni mzuri kuliko hata huyu mdada... ila she is acting strange... naamini ni upepo tu utapita... kana mwezi wa pili sasa ofisini... kuna vijana wenzake hapa lakini hajishughulishi nao. Ila kukamega siwezi kabisa bora nitafute kazi sehemu ingine.
Huyu ni dhaifu tu, hakuna zaidi ya hapoNa wewe unakubali kabisa kuanguka kwenye mtego wakati unaona kabisa mtego huo
Na Siku ukianguka utamlaumu shetani eti kuwa alikupitia kidogo
Naona hapo utakuwa unamsingizia shetani hana kosa mwenye kosa ni wewe na tamaa zako
Kwa nini usichukue muda kumsifia mkeo na kumuelezea haya uliyoyaeleza kwa huyu dada
Ina maana mkeo hujawahi kumpa sifa kama hizi maana ungekuwa umempa sifa zote hizi wala usingeona huyo dada ni mali kitu mbele ya mkeo
Ila kwa kuwa tamaa zimekujaa na unataka umsaliti mkeo unachukua muda wako kutunga haya ya kumsifia mtu mwingine kabisa ambaye wala sio mkeo
Usianguke chukua muda mfikirie mkeo na muone kuwa yeye ni zaidi ya huyo dada na ana kila sababu ya kuwa mzuri zaidi ya huyo dada
Sikatai kuadmire kupo ila kataa hizo mbinu zinazotaka kuchukua nafasi ya mkeo
Mh una tumaneno teh teh no wonder kadada kanakutega hahah! Thnx n karibu[/QUOTE
Du! hehe heheheh
Thank Mr R. Unajua saa ingine huwezi kukwepa majaribu... mke wangu ni mzuri kuliko hata huyu mdada... ila she is acting strange... naamini ni upepo tu utapita... kana mwezi wa pili sasa ofisini... kuna vijana wenzake hapa lakini hajishughulishi nao. Ila kukamega siwezi kabisa bora nitafute kazi sehemu ingine.
Jiaminishe kuwa ana UKIMWI au tengeneza kasoro yoyote, ambayo uiamini na hivyo itasaidia. The other thing jitahidi uwe serious na usiintertain jokes; kama ulivyoweza kuruka vihunzi vya yule neighbor wako aliyetaka umuwekee luku ndivyo utahavyoshinda na hivi.
Shetani anakuonea wivu jinsi ulivyo mwaminifu kwa Mungu na mkeo, ndio maana anakusogezea vishawishi.
Aiseee... ni mzuri balaaa asikuambie mtu. Nikizungusha kiti nakutana na mgongo wake.
Anavaa kimini...ananukia vizuri... blauzi yake inabana matiti yake makubwa kiasi kama yanatokea kwa juu... ni chocolate colour.. anapaka mafuta yaani mapaja yanameremetaaaa..
Mbaya zaidi madam bosi amemleta department moja na mimi hivyo kila kitu kikimtatiza kidogo tu anazunguka na kiti alafua anakiendesha mpaka pembeni yangu...imagine jamani anasogea karibu kabisa ananigusa na mapaja yake alafu wakati namwonyesha kitu kwenye monitor anakua kama analean..lalakwa kwa mbele hivi, hivyo ananigusa na manyonyo yake malaini, alafu anaongelea masikioni mwangu.
Nafikiri anaelewa ananitesa maana kila akifanya hivyo huwa natoka jasho alafu nahisi atakua anasikia moyo wangu unavyodunda kwanguvu. Eti lunch mpaka twende naye.. nikiagiza ofisini na yeye anaagiza..nikinyanyuka kama ni lunch time ananiwai nisubiri twende wote.....katika maisha yangu ya ndoa sijawai kupata mtego mbaya kama huu.
Eee mola nisaidie.
Thanks a lot Kaunga... ugumu unakuja tuko naye kuanzia asubui mpaka jioni... boss kamkabizi kwangu... chochote atakachokuja kuniuliza siwezi ignore maana kakicomplain nitapata shida... mwanzo nilizarau lakini siku zinavyokwenda naona its getting out of hand.... unajua ukweli huwezi kuubadili, utabaki ni ukweli tu.. this girl it HOT!
Kuanzia uvaaji ... manukato... mpaka kuongea.
Kukamega siwezi ila nateseka. Man!