Uume hausimami wakati wa tendo

Tiba ya uume kugoma kusimama wakati wa kufanya mapenzi ni nini?
Sababu yake ni nini?
Tiba yake ni nini?
Unaweza kua na tatizo linaloitwa kwa kiingereza Erectile Dynsfunction ambalo,huwapata wanaume wengi,na mara nyingi husababishwa na upungufu wa homone zinazojulikana kama testosterone ambazo huwa zinasisimua uume uweze kufanya kazi sawasawa, au unaweza pia kua na tatizo la kuwa na hofu na tendo lenyewe,na kwa hilo tendo ukishakua na hofu tu basi,sahau kusimamisha uume yaani huwezi kudindisha hata iweje,labda mwenza wako awe mtundu anaweza kufanya manjonjo ili isimame,nakushauri kamuone physician yeyote katika hospitali unayoiamini aweze kukupa ushauri utakaoweza kukufaa.
 
kula sana mchanganyiko wa carrots,matikiti,na ndizi.pia tafuna punje tatu za kitunguu swaumu kila siku mara mbili huku ukiacha puli na video za ngono.jitaid pia kula nafaka za asili yke km dona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…