Habari ya kazi wana JF napenda kuchukua nafasi hii kuuliza swali mimi huwa nalala saa nne usiku na kuamka saa kumi nambili asubuhi Tatizo langu kila wakati wa kulala uume wangu usimama usiku kucha ikifika asubudi naamka ndio hutulia na ukisimama unasimama mpaka unauma usiku kucha je Hili ni tatizo au nini maana ninaishi peke yangu katika chumba mpenzi wangu yupo mbali je nifanyeje?? kuondoa hali hiyo??
wewe vipi wewe!
inasiamam usiku kucha? unajuaje, huwa hulali?
Habari ya kazi wana JF napenda kuchukua nafasi hii kuuliza swali mimi huwa nalala saa nne usiku na kuamka saa kumi nambili asubuhi Tatizo langu kila wakati wa kulala uume wangu usimama usiku kucha ikifika asubudi naamka ndio hutulia na ukisimama unasimama mpaka unauma usiku kucha je Hili ni tatizo au nini maana ninaishi peke yangu katika chumba mpenzi wangu yupo mbali je nifanyeje?? kuondoa hali hiyo??
hilo siyo tatizo.. the natural state ya uume ni kusimama! sasa ukiwa umelala ni kama umekufa.. did you know mtu akifa.. huwa unasimama vile vile! (don't ask me how I knew that)..