Uume kusinyaa wakati wa tendo

Vipi ukigusanisha nyaya unapata hisia?Unatakiwa ukigusanisha nyaya mwili usisimke kweli kweli.Kama unapata hisia utakuwa mzima kama hupati hisia basi kuna tatizo.Kamuone daktari haraka
 
Daaah comments pia za wadau zinafurahisha sana,Natumaini pamoja na kupata msaada watatizo lake kajifunza na mengine mengi sana...........
 
Naenda mpaka 3,lakini sikojoi hata mara moja
[emoji50]
Amazing
[emoji15]
Goli 3
[emoji87]
Hukojoi
[emoji102]
[emoji105]
Uko WAP??
[emoji12]
Nataka nishuhudie.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] umenifurahisha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole lakini.
 
Kama hujaoa halafu unaleta uasherati wako hapa unataka ushauriwe vipi. Yaani jukwaa likushauri ukafanye uasherati. Astaghafilahi. Lakini Vandelitz kakujibu vyema. Inaonesha umedandia treni kwa mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…