naona kiswahili kinanitatiza hapa...............
hayo maji umesema ni "meupe'??.................... i mean kama povu la sabuni???.................. au ni maangavu??? .................i mean transparent??.....................
kama ni meupe, kimbia hospital mapema................ kama ni maangavu na yanatoka ukiwa katika erection .......................or soon thereafter............., its normal and a sign of potency.................. so watch out usichezee gridi ya taifa bila kingazzz......................