Nini sababu,faida,na taabu ya uume kuto weza kusimama vizuri(yani kuwa mraini)wakati wa kujamiiana
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/567638-njia-za-kuacha-punyeto-na-kuimarisha-uume.htmlkama unanjia ya kunisaidia naomba msada wako
Na hii ndiyo inakuletea matatizo yote haya!!!Nimejaribu kuiacha nimeshindwa mpaka nafikiria kuwa labda nimerogwa,
jaribu kupima pressure na kisukari mkuu fanya mazoezi ya viungo .kama wewe ni mnene ,punguza unene kwa kula vyakula vya mboga mboga na matunda ,pungua vyakula vyenye mafuta kwa wingi hasa mafuta yanayotokana na wanyama.punguza vyakula vya wanga kama ugali wa sembe ,wali ,chips,hacha kutumia vinywaji vya viwanda kama aina zote za soda ,coca cola .Azam cola .na aina zote za vyakula za viwandani mkuu .pia jaribu kutumia Asali changanya maziwa ya ng'ombe fresh yaliyochemchwa na kupoa .changanya Asali mbichi na pia kula tende punje 7 kila cku kwa wiki 2 mpaka 3.
Pia dawa nyingine changanya Asali ,maziwa fresh ,juice ya kitunguu sauma na madalasni kunywa huu mseto kwa wiki 2 mpaka 3 .kunywa vijiko viwili vya chakula mara 2 mpaka 3 kwa cku .huu mseto weka kwenye frigi .hii dawa lishe .fanya hivyo mkuu utaona matokeo.kama mkeo hatokimbia kitanda
Nini sababu,faida,na taabu ya uume kuto weza kusimama vizuri(yani kuwa mraini)wakati wa kujamiiana
jaribu kupima pressure na kisukari mkuu fanya mazoezi ya viungo .kama wewe ni mnene ,punguza unene kwa kula vyakula vya mboga mboga na matunda ,pungua vyakula vyenye mafuta kwa wingi hasa mafuta yanayotokana na wanyama.punguza vyakula vya wanga kama ugali wa sembe ,wali ,chips,hacha kutumia vinywaji vya viwanda kama aina zote za soda ,coca cola .Azam cola .na aina zote za vyakula za viwandani mkuu .pia jaribu kutumia Asali changanya maziwa ya ng'ombe fresh yaliyochemchwa na kupoa .changanya Asali mbichi na pia kula tende punje 7 kila cku kwa wiki 2 mpaka 3.
Pia dawa nyingine changanya Asali ,maziwa fresh ,juice ya kitunguu sauma na madalasni kunywa huu mseto kwa wiki 2 mpaka 3 .kunywa vijiko viwili vya chakula mara 2 mpaka 3 kwa cku .huu mseto weka kwenye frigi .hii dawa lishe .fanya hivyo mkuu utaona matokeo.kama mkeo hatokimbia kitanda
Kwisha habari yako....
Pole ila sio kuwa " mraini" ni kuwa " mlaini"
Pole ndugu Kaangalie mojawapo haya hap chini ukiwa huna nitafute kwa wakati wako ninaweza kukutibia kwa gharama lakini.Nini sababu,faida,na taabu ya uume kuto weza kusimama vizuri(yani kuwa mraini)wakati wa kujamiiana
Kuhusu faida - inasaidia kwa 100% kupambana na maambukizi ya ukimwi....Nini sababu,faida,na taabu ya uume kuto weza kusimama vizuri(yani kuwa mraini)wakati wa kujamiiana
nenda kwa maduka ya dawa asilia ulizia mafuta ya MISC hayo mafuta paka kwa dushelele kwa umakini....utapatapa majibu mazuri kwa watu wa tanga au pwani kwa ujumla hii kitu ni maarufu sana
samahan,hayo mafuta yanapatikana wap na kazi yake kuu ni nn