Uume kutosimama vizuri(kuwa mlaini)

samahan,hayo mafuta yanapatikana wap na kazi yake kuu ni nn
1.yanapatikana kwenye maduka dawa za asili
2.kariakoo yapo mengi tu hasa kwa maduka ya wapemba watakupa maelekezo ya kutosha
3.pia misikitini yanapatikana utakapo kwenye vimeza vya biashara ndogo ndogo.
4.kazi yake kubwa ni kuibust dushelele,
5.kwa tanga hii kitu ni maalufu sana
 
kunywa kiroba cha value
siku izi vipo feki, kuna wine ya uyoga ndo habari ya mujini ukiitaji fika maeneo ya magereza ukonga kuna kibaa flani kipo ndani, glasi wanauza buku jero hiyo kitu ni zaidi ya nouma inatengenezwa dodoma glasi mbili tu zinakutosha, kama ni kichencheda chako lazima kitaacha pichu
 

Asante mkuu,sasa ukishapaka ndo lnakua busted moja kwa moja
 
kwa bongo swahili haina effect we mlad umeelewa kwasababu hata ukiandika kwenye mtihani unafaulu

Ningekuwa mwalimu wako hakika ungefeli tu. Mimi nikufundishe vizuri halafu wewe uniandikie kiswahili cha ajabu? Ndio maana tunasema elimu yetu hapa nchini imeshuka!
 
Dead Penis(DP)
fuata ushauri mzuri uliopewa halafu lete mrejesho kama Kiongozi yupo vzr ama mlaini ?
 
Wewe umeleta tatizo lako hapa ili usaidiwe bado unauliza mtu kazi ya hiyo dawa ni nini. Hivi wewe hujui unatatizo gani. Watu wengine bana????????
mkuu hata kama unajua tatizo lazma ujue iyo tiba inasaidia vipi na kama ina madhara kiafya au na si kutumia tu bila kujua nafkiri aliemshauri aje amweleweshe vizuri
 
mkuu hata kama unajua tatizo lazma ujue iyo tiba inasaidia vipi na kama ina madhara kiafya au na si kutumia tu bila kujua nafkiri aliemshauri aje amweleweshe vizuri

Nashukuru kwa maneno ya hekima mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…