Uume kuwa mdogo na makorodani kuuma

Imma87

New Member
Joined
Apr 13, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Kwanini uume huwa mdogo na makorodini kuuma yaani kukiwa na baridi au ukiwa hali ya kawaida huwa mdogo kama cm 2 au 3 je tiba yake ni nini? Naomba ushauri wenu fj
 
hiyo ni dalili ya mnyama "ngiri"!! nenda kawaone wataalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…