Uume unatakiwa usimame mara ngapi kwa siku?

Huu nao ni umasikini mwingine, duh! Pole sana ndg, nahis hiyo pampu umeioveruse,
 
Maisha magumu sana sijadinda kwa wiki mbili na wala sina hamu.
hauko mwenyewe mkuu...kudinda kwangu imekua mtihani kwangu siku hizi,hata nikiamka asubuhi nakuta ubooo hauja dinda na usingizi usiku sipati
 
kwa saivi sina hisia na hao viumbe kabisa mkuu...imepita kama mwezi na wiki kadhaa tokea nimelala na dem
Em Jaribu mchukue dem leo au kesho huone jogoo atawika au la?
 
Reactions: ywf
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…