Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
sababu ni nguvu nyingi za kiume zinazotokana na umri mdogo.Hali hiyo itaisha kadiri umri unavyosonga.Hembu tuone na wengine watasemaje!!
Ina maanisha una ujasiri mwingi.
Inchi 8.5 ?? Wewe ni tiba tosha kwa huyu farasi wangu nitafute nikupe deal
Inchi 8.5 ?? Wewe ni tiba tosha kwa huyu farasi wangu nitafute nikupe deal
utan sio mahal pake mkuu
Mkuu humpendi shemeji yangu nini....
Hahahaaaa
Hahaha ndio mkuu namtoa bure kabisa karibu
tumia tafsida edit..andika UMEE
tumia tafsida edit..andika UMEE
Je ? Una sickle cell , achana wanaokwambia ni ujasiri sijiu . priapism si ujasiri ni ugonjwa .. Katika mfumo mzima wa damu.. Hyper coagulation .. Sijui kiswahili chake .. Kwa umri wako ni mdogo kupata stroke ila kuna certain vasculitis disease zinasababisha stroke kwa umri mdogo...
Ushauri
Angalia diet yako
Fanya mazoezi
Kumeza aspirin hata mara moja kwa siku sio mbaya .. Na inashauriwa hivo hata kwa mtu wa kawaida...
mazoezi muhimu zaidi