am fine hater za kupotea hater
hater nilikwambia achana na siasa njoo tuongee mapenzi na pesa unaruka ruka kama kitenesi kazi kweli kweli .. ngoja na hapa nikuponze tukupige ban mpaka mwezi wa nneHater nilipigwa ban hater.....kuna mpuuzi mmoja wa kule siasani aliniponza hater....I miss u so much hater
hater nilikwambia achana na siasa njoo tuongee mapenzi na pesa unaruka ruka kama kitenesi kazi kweli kweli .. ngoja na hapa nikuponze tukupige ban mpaka mwezi wa nne
Hater kwa sasa huwezi kuniponza ilikua enzi zile nakuchukia...sasa hivi huwezi
kwa kuwa hata mimi nakuchukia hater yani nikikuona natamani kupasua screan ya computer nikupige makonde
Hhaahahahaha...hater kuwa makini hater......vunja kompyuta mie sipooooo...hater mi nishaacha kukuchukia ...mornin
navunja kompyuta ya ofisini nikatwe mshahara niongeze chuki hater.. morning
Mnatoka nje ya mada mambo yenu pelekeni chemba. Hapa tunataka kumshauri mtu anayedindisha mpaka anaweweseka na kupitiliza vituo vya basi
Ha ha ha tunamsaidia namna ya kuamisha mada mawazo ya kwenye dudu kupeleka sekta nyingine ... kama tulivyofanya ha ha ha ha Freeland unakesi
Te teee! Inavyoonekana huyo hahamishiki amekua sugu..yani kila siku anapitiliza vituo vya basi kwa kudindisha!
hater nilikwambia achana na siasa njoo tuongee mapenzi na pesa unaruka ruka kama kitenesi kazi kweli kweli .. ngoja na hapa nikuponze tukupige ban mpaka mwezi wa nne
Nina umri wa 28 sasa,nina mchumba hatujaanza kuish pamoja. Tatizo langu ni kwamba hisia zangu za kimapenzi zipo karibu sana. Nikiwaza mapenzi kidogo tu uume unasimama na kutuliza inakuwa kazi.
Mda mwingine nikiwa garini hiyo hali ikitokea napitiliza kituo, mpaka uume ulale.
Nakosa raha mda mwingine. Nisaidieni nifanyeje hali ipungue coz naweza kuja kuumbuka siku moja? Je,kiafya tatizo liko wapi?
Mungu awabariki kwa kweli.
!
!
kuna somo nomeona la mademu wa kichaga humu kukwaani. sijui imeliona. Teh teh eti panki
Nipe link mkuu
Nakusalimu .....
Heri ya mwaka mpya