Habari za leo wana jf? Naombeni msaada mwenzenu. Mi nina umri wa 43 na nimetahiriwa ukubwani, nauguza kidonda, leo siku ya 5. Kwenye
ukingo
wa kichwa cha uume kuna
vipele vidogovidogo vipo kama vpele vya joto
lakin vyenyewe haviwashi wala havitumbuki, alfu vimezunga
kwenye ukingo wote wa
kichwa(uume). Nilikuwa naviona hata kabla ya tohara na vikiguswa viko sensitive sana. Sasa hv baada ya kutahiriwa ncha zake zimekauka na vinanasa kwenye shuka au kaptula, basi najisikia vibaya na eneo zima kutonesha. Nifanyeje kuepuka hali hii na vitaendelea kunasa nguo hata baada ya kupona kidonda? Nawasilisha.