Uume wangu mdogo nazuga Mlokole

Uume wangu mdogo nazuga Mlokole

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Mimi ni kijana na tatizo langu ni kwamba mboga yangu ni ndogo sana, sasa mara nyingi kwa kweli inani kwaza na muda mwingi nateseka sana kwa mawazo. Mademu wengi waminiacha
wengine wamekuwa sio waaminifu kwangu kitu kinachonifanya nihisi kuwa ni udogo wa mboga yangu.

Ukiniona ni bonge la handsome na kina dada wenyewe wanajileta lakini wengi nawachunia sana kwakujifanya kuwa mimi ni bonge la Mlokole flani kumbe uume wangu mdogo hata mwanamke ukimkubalia utamtia siku ya kwanza ya pili ataanza kulalamika kwamba hasikii kitu.

Sasa utakuta mzee mzima na ji over work ili shughuli ifane lakini wapi jasho linatoka, basi ni matatizo na maumivu ya roho. Ukiachana nao wanaanza kutangaza basi balaa mtindo mmoja hebu nisaidie dada yangu.
 
Hapo mwisho umeandika naquote "hebu nisaidie dada yangu" sasa unataka dada yako akusaidie nini? Akuongezee mboga yako au awe anakupa yeye halafu asilalamike wala kukutangaza?
 
Ili uweze kufaidi tendo jaribu kubadili staili, tumia mda mwing kumuandaa mdada ili iwe rahis kumfkisha mount kilimanjaro na usipende kusex na wanawake wanene maana kitu yako itakuwa inaelea juu juu tu na kushindwa kukidhi haja zao
 
mmh; ukiona size ndogo tumia akili zaidi.

Afu mwili wako wote haujatengenezwa kwa ub.oo peke yake, tumia sehemu zingine za mwili kuwaridhiwa wapenzio.

Waswahili tunasema 'punda afe lakini mzigo ufike'
Kongosho usitake wadada wa watu wafyampatuke.
Yaani kuanzia mnaingia chumbani yeye yuko busy na ulimi na vidole tu....
Naamini mkonga unaladha yake bwana, ambayo hakika inakata kiu.
 
Hebu tuwekee vipimo vyake urefu na mzingo (mzunguko) ktk sm au inch ikiwa imesimama tuone kama kweli ni ndogo. Isije ikawa unayo kubwa ila hujiamini tu.
 
Sidhani kama tatizo ni udogo wa uume! Msome Kongosho hapo juu!
 
Last edited by a moderator:
angalau mzigo utafika hata kam apunda kafa.

Kuliko kuwachezea na kijiti bila kutuliza kiu zao, bora atulize kiu zao, akimalizia na kibamia angalau mtu anaweza mpa maksi kwa jitihada binafsi.

Ujue mwanamke akipenda chongo kuona kengeza, hujui hilo?

Kongosho usitake wadada wa watu wafyampatuke.
Yaani kuanzia mnaingia chumbani yeye yuko busy na ulimi na vidole tu....
Naamini mkonga unaladha yake bwana, ambayo hakika inakata kiu.
 
Acha imani za kijinga, mimi nina kibamia ila nikipanda hapo juu ya kifua cha mama ako mdogo ananiambia anatamani niikate ibakie humo humo ndani kwa utamu ninaoumpa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mmh; ukiona size ndogo tumia akili zaidi.

Afu mwili wako wote haujatengenezwa kwa ub.oo peke yake, tumia sehemu zingine za mwili kuwaridhiwa wapenzio.

Waswahili tunasema 'punda afe lakini mzigo ufike'

ikiwezekana apashe push ups za kutosha kabla ya kuingia mzigoni loh Mzizimkavu,Bujibuji,Mtambuzii,Mentor hakuna haja ya kuwapeleka JKT vijana bora wapelekwe jandoni wakajifunze matumizi ya silaha za asili.
 
Acha uzembe tumia bamia yako vizuri na pia hata ukiwa na pipi ya kifua unaweza kuitumia vizuri ukitulia. Ukishindwa kabisa muone Lizy....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom