Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 726
Hahahahahaaaaaaa! salaleeeeeeeeeeeeee! Duh! Kwa hiyo wewe unakibamia lakini unaweza kukoroga pipa la maharage na lisiungue!! Loh! Ngoja niku PM nije nihakikishe kwa mijicho yangu mwenyewe halafu nilete huo ushuhuda hapa Jamvini.
Umeshakutana kimwili na wanawake wangapi?
Ngoja nikueleze siri ndugu mleta mada, kuna wakati mwanaume unaweza ukahisi una "mkuluju" mdogo kumbe sio kweli ha hizi hapa chini ni sababu ambazo hupelekea hisia za namna hiyo.
1. Aina ya wanawake ukutanao
Hata wanawake pia mauongo yao ya chini hutofautiana. Wapo ambao ni samaki aina ya dagaa au vibua tu ndio wawezao kupiga mbizi, lakini wengine huko bwawani wapigao mbizi ni papa, nyangumi na jamii nyingine kubwa kubwa.
Ukiacha hilo pia wanawake pia hutofautiana utundu wawapo kwenye majambozi. Kungonoka ni tendo la kushirikiana baina ya KE na ME, sasa huenda wewe unakutana na makungwi wa mtanange wa kikubwa.
2. Huenda hauna ujuzi na hii mambo ya kitandani. Hivi si unajua kuwa kisu mpe Mmaasai, ukimpa Mzaramo ataishia kumenyea ngogwe tu. Haijalishi ududu wako una urefu au wembamba gani, je huwa unagusa yale maeneo muhimu ya uke?
Je, namna yako ya kuingiza na kutoa unaifanya kwa pace ipi? n.k.
3. Kujilinganisha uwezo ulionao na watu wengine(marafiki) au hata wale performers wa kwenye picha za utupu. Kumbuka tu kuwa kwa habari ya mambo ya chumbani, unapaswa kujifunza taratibu ipo siku utakuwa levels zetu.
Nitarudi nikipata wasaa tena, tafadhali usiniPM mkuu na wengineo maana sitaweza kujibu, swali lolote naomba ulielekeze hapa hapa jukwaani.
Siyo mm baba V , ila Kitoabu ndiyo katoa ushuhuda huo kuwa yeye katumia ndiyo ikaongezeka ukubwa, nimemuomba niende nikamkague kama kweli imekuwa, ili nilete ushahidi hapa jamvini.Kichwa cha habari ameandika "pilipili ndiyo mkombozi wetu".Ukiskia ushauri wa nguvu za giza ndo huu.
"wafyampatuke", ?????Kongosho usitake wadada wa watu wafyampatuke.
Yaani kuanzia mnaingia chumbani yeye yuko busy na ulimi na vidole tu....
Naamini mkonga unaladha yake bwana, ambayo hakika inakata kiu.
... mboga yangu ni ndogo sana,..... mboga yangu.....
Sasa kama kinakutosha kwa nini asiku pm ili kikakutoshe vizuri?, ( na hiyo avatar yako kudadadeki sipati picha )jiamini,nani amekwambia kibamia hakiridhishi?sio wote wanapenda mitarimbo mikubwa.mimi mmoja wapo hicho hicho kibamia kinanitosha.sitaki pm
Mungu hakosei labda angekua paipu angekua mzinifu balaa coz anajijua kua yeye hendisamu wadada wanajigonga so hiyo ni s.gavana kutoka kwa muumba
Hahahahahaaaaaaa! salaleeeeeeeeeeeeee! Duh! Kwa hiyo wewe unakibamia lakini unaweza kukoroga pipa la maharage na lisiungue!! Loh! Ngoja niku PM nije nihakikishe kwa mijicho yangu mwenyewe halafu nilete huo ushuhuda hapa Jamvini.
Kwa nn Fidel80, ?????Unabalaa weye
Kwa nn Fidel80, ?????