Uume wangu una matatizo wanawake wananikimbia

jamani huyo mwenzunu ameomba ushauri then naona wengine mnatania hembu msaidieni kama inawezekana!!!!
 

Hapo ndo tatizo la mdau.Wanawake wanamkimbia awaingiaje hadi aweze kutangaza ndoa?
Itabidi auze CV yake mapema kabisaa kabla ya kitu chochote ili mdada ajue.Akija kuona kitu cheupe kama albino wa Penis asistuke.
Sipati picha ndo nakutana na wa hivyo.Nitakimbiaje?

 
Hivi mtu akiomba ushauri jf haya ndo majibu kweli!!?nina wasiwasi na uwezo wa kufikiri wa baadhi ya watu hapa!ambaye anaweza kumpa ushauri huyu kaka afanye hivyo please!so sad!
 
Kaka embu jaribu kupaka asali labda uwo weupe unaweza kupotea kaka
 
Huo uume hauna matatizo as long as unafanya kazi yake... Hiyo rangi yaweza kutokea popote mkuu, chukulia kama baka jingine kwenye mwili
 
Mi nadhani angeweka picha ili tujue ukubwa wa tatizo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…