MASHAKA KATALAMBULA
Member
- Sep 9, 2018
- 7
- 6
We unataka asambaze zinaaUtakuwa haujapata papuchi kwa muda mrefu!
Siulikula papuchi ya kununua juzi wewe? Yashakukuta hilo ni GonoNaomba ushauri uume wangu unatoa usaha tatzo nini jamani ???
Kama unasikiaga kisonono ndo hicho, halafu kinaenda na mwamaume kusikia msisimko sana wa mapenzi ili uambukize wengine. Kama kuna mwanamke ulilala nae usimrudie mpaka atibiwe kwanza. TAHADHARI kwa kipindi hiki uwezekano wa kupata maambukizi ya UKIMWI ni 100% chukua tahadhari kubwa kutofanya mapenzi mpaka upone, kwa ujumla inaonyesha huwa unafanya unprotected sex, Kuwa makini sana . Nakushauri uende hosipitali huo ugonjwa unatibika kilahisi sana ukiwahi kupata matibabu.Ufue nguo zote ulizokojolea na maji moto chupi zote na usikose kunyoosha suruwali ulizotumia.Naomba ushauri uume wangu unatoa usaha tatzo nini jamani ???