Jamani wakuu naombeni msaada,natoka ute weupe kwenye uboo wangu yaani sons tags,mda mwingine nahisi mishipa ya mboo inauma,msaada ni nini na nifanyeje?
Jamani wakuu naombeni msaada,natoka ute weupe kwenye uboo wangu yaani sons tags,mda mwingine nahisi mishipa ya mboo inauma,msaada ni nini na nifanyeje?
Jamani wakuu naombeni msaada,natoka ute weupe kwenye uboo wangu yaani sons tags,mda mwingine nahisi mishipa ya mboo inauma,msaada ni nini na nifanyeje?
UMEGONGA (Ng'e) Gonorreah la mbwa
Du Dawa ninayoikumbuka ni Cyproflaxacine 500mg (sijui km nimepatia maandishi ya kiMedicine) iwe ya India
maana zile sindano za mifugo dose yake huiwezi labda upunguze alcohol
subiri pia wataalam watakupa tiba maana huo ugonjwa ulipotea muda baada ya kuanza kuvaa kinga (epuka Machangu) Pole
kupanda mnazi kwa mkono mmoja, ndiyo mpango mzima. Tangu lini mpanda minazi akatumia mikono miwili?je huwa unapanda mnazi kwa mkono mmoja aka puli kama ndio achana na hiyo kitu..
Mkuu asante,ngoja niitafute hii dawa,
Mkuu asante,ngoja niitafute hii dawa,
Hapana usiitafute hiyo dawa, haitamaliza tatizo lote, itapunguza tu maumivu kisha njia ya mkojo itaanza kuchimbika. Cha msingi nenda hospitali kapime kisha upate matibabu halisi. Usione soo. Kama unaogopa anza kumeza Cipro 1, metronidazole 2 na doxy 1 kisha uendelee na metronidazole 2x3 kwa siku tano na doxy 1x2 kwa siku kumi na pia uchome sindano powercef moja na hii sindano ni IV au IM. Upone, ulikula pabaya na mwenzio pia umtibu
Jamani wakuu naombeni msaada,natoka ute weupe kwenye uboo wangu yaani sons tags,mda mwingine nahisi mishipa ya mboo inauma,msaada ni nini na nifanyeje?