Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Wakuu naomba mnisaidie juu ya hili suala hivi kwa nini mawazi wanakimbilia kuunda tume kuchunguza mambo hata kwa yale yaliyo wazi?ni kukosa umakini au kutokuwa na uamuzi wa kuamua vitu bila kushirikishana?
Hili limekuja baada ya kupitia gazeti la mwananchi leo na kukuta kichwa cha habari kinachosema kuwa 'Tume yaundwa kuchunguza ufisadi wa Tanesco''
Hivi hata hili lilowazi kabisa linahitaji kuundiwa tume wakati mambo yako wazi.
Na hakuna hatua ambayo inaweza chukuliwa bila undwaji wa tume?
Hili limekuja baada ya kupitia gazeti la mwananchi leo na kukuta kichwa cha habari kinachosema kuwa 'Tume yaundwa kuchunguza ufisadi wa Tanesco''
Hivi hata hili lilowazi kabisa linahitaji kuundiwa tume wakati mambo yako wazi.
Na hakuna hatua ambayo inaweza chukuliwa bila undwaji wa tume?