Wabongo kwenye marketing bado sn..sasa unatuwekea mapicha picha Kama hivi bila kuweka bei alafu unaishia Kusema unaletewa Hadi home..haya niletee basi home kesho asubuhiUnaletewa kokote DSM unapewa HDMI pamoja na wall bracket kwa gharama nafuuView attachment 2036307
Sawa mkuu naweka bei apo hakuna shidaWabongo kwenye marketing bado sn..sasa unatuwekea mapicha picha Kama hivi bila kuweka bei alafu unaishia Kusema unaletewa Hadi home..haya niletee basi home kesho asubuhi
Mwingine anapost kitu ukimuuliza bei gani anakujibu nicheki inbox au anakuwekea namba anakuambia nicheki Kwa namba hii ,sasa mbn wewe hukunicheki inbox badala yake umekuja kuweka bandiko lako public
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Alitop.Alitop tv au brand gan mkuu..!?
Tv 17" Bei gani?Mziki mnene kwa 195000 tu ... Free deliveryView attachment 2036489