Uuzwaji nyumba za Serikali: John Magufuli, Mussa Magufuli, Sundi Malomo kushtakiwa (Raia Mwema)

hizi nyumba zitakuwa laana kwa wote waliojiuzia, haiwezekani jasho la waTanzania mkauziana wau wachache.
 
Hivi Salva huyu alieandika ndio yule alikia Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu
 
hizi nyumba zitakuwa laana kwa wote waliojiuzia, haiwezekani jasho la waTanzania mkauziana wau wachache.
Na hii laana itaendelea kuwatafuna maana saaizi ndo amekazana kuhamishia chato raslimari za nchi.......

Mzalendo feki
 
Upuuzi mwingi tu hapa. Naona kichwa cha habari kimeandikwa "kushtakiwa" mashtaka yenyewe hayana mashiko. Mrundikano wa porojo nyingi tutaziskia kipindi hiki cha chaguzi. "Paka nyie" mlikuwa wapi mka kaa kimya sasa hivi mnalia nyau nyau.
 
Upuuzi mwingi tu hapa. Naona kichwa cha habari kimeandikwa "kushtakiwa" mashtaka yenyewe hayana mashiko. Mrundikano wa porojo nyingi tutaziskia kipindi hiki cha chaguzi. "Paka nyie" mlikuwa wapi mka kaa kimya sasa hivi mnalia nyau nyau.
Hiyo ni habari ya 2015.
 
Mzarendo anatembea na faili za uporaji wa nyumba za "wanyonge" kuwauzia mahawara na ndugu?
Hili lazima wapiga kura mwaka huu walijue.
Wapiga kura wa 2015 sio wa 2020 maana ndani ya miaka hii 5 wamepatikana wasomi kibao wapiga kura wapya na wako mtaani tuu
 
Huyu Ndiye Pombe Magufuli:

- Wasema nyumba 8,000 kauza kwa mkono wake mwenyewe
- Apuuza maonyo ya wataalamu- Mafaili ya Sundi na Musa aliyabeba kwapani






Washauri indeed!​
 
maendeleo ya vitu badala ya watu
Uchumi wa kati feki..... Watu (wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara, wanafunzi nk) wanataabika vibaya kuliko awamu zote zilizopita.....

Hawa Jamaa hawafai... Wanajisifu kujenga zahanati hakuna vifaa hakuna dawa madaktari hawatoshi na kwenye elimu ni hivo hivo sasa hizo ni huduma za Jamii au vijiwe vya kupumzikia??

Ndio maana Mkapa alianza kumchana mara kwa mara......
 
Sikiliza tena hotuba ya Kikwete kwenye msiba wa Mkapa, uchumi wa Kati kikwete alitufikisha ali aliacha kutangaza kwakuwa nimhasara sana, yaani badala ya nchi kupewa misaada sasa inatakiwa ikope tena kwa riba kubwa.

uchumi wa kati wa chini tulifikia siku nyingi, wa shilingi 1000 , na Mkapa alitaka tufike Tshs 3000 ndio tutangaze sasa huyu jaama ako wa Chato katangaza tukiwa 9000, alafu MATAGA wanasema yeye ndiye katufikisha hapo.
 

Hii ni jinai. Jinai haifi....

Miezi kadhaa ijayo isiyozidi 6, ataweza kuanza kuonja madhira ya kuhudhuria mahakamani....

Ya Malawi, yanakuja hapa Tanzania...
 
Upuuzi mwingi tu hapa. Naona kichwa cha habari kimeandikwa "kushtakiwa" mashtaka yenyewe hayana mashiko. Mrundikano wa porojo nyingi tutaziskia kipindi hiki cha chaguzi. "Paka nyie" mlikuwa wapi mka kaa kimya sasa hivi mnalia nyau nyau.
Unajua huo uzi wa mwaka gani?
 
Jipe matumaini wakati huna hesabu. Ingekuwa kamari hapa ningebet mil 100. Maana nina uhakika wa return ya kutosha
 
Ndio maana Meko alimfukuza rweyemamu mapema. Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…