SENYAMANZAVIDA
New Member
- Sep 21, 2015
- 3
- 0
MImi nafanya biashara ya kununua na kuuza dhahabu hapa hapa Tanzania. Nanunua kwa wachimbaji wadogo wadogo, nauza kwa hawa Sonara wa hapa hapa nchini ambao hununua kwa asilimia (percentage purity).
Ombi langu ni kwamba, naomba yeyote mwenye uelewa wa wapi ambapo hawa Sonara huuzia dhahabu yao..
Ombi langu ni kwamba, naomba yeyote mwenye uelewa wa wapi ambapo hawa Sonara huuzia dhahabu yao..