Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Wanabodi nawasalimu!
nimekutana na taarifa ya uuzwaji wa hisa za Mwalimu Commercial benki (Mwalimu Commercial Bank),
Hisa moja ni Tsh 500 na kiwango cha chini cha manunuzi ya hisa ni Tsh 100 sawa na shiling 50,000/=
inaweza kuwa fursa kwako.
source😀SE(Dar es salaam Stock Exchange)
nimekutana na taarifa ya uuzwaji wa hisa za Mwalimu Commercial benki (Mwalimu Commercial Bank),
Hisa moja ni Tsh 500 na kiwango cha chini cha manunuzi ya hisa ni Tsh 100 sawa na shiling 50,000/=
inaweza kuwa fursa kwako.
source😀SE(Dar es salaam Stock Exchange)