DOKEZO Uuzwaji wa viwanja vya wanyonge na open space Halmashauri ya Ubungo

DOKEZO Uuzwaji wa viwanja vya wanyonge na open space Halmashauri ya Ubungo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

kdaz

New Member
Joined
Feb 13, 2025
Posts
1
Reaction score
0
Pale nyuma ya ofisi za Halmashauri ya Ubungo kuna Eneo la wazi la Sqm 10,400 zimepigwa na Afisa Ardhi wa Manispaa anaitwa Fadhili akishirikiana na Kamishna wa Ardhi mkoa wa Dar Ndugu Kyando.

Pia kulikuwa na eneo la barabara la mita 70 limeuzwa kwa viongozi wa wilaya na viongozi wa mkoa na baadhi ya Majaji pia wameingizwa humo ili kuzuia watu wakilalamika mahakamani washindwe kesi

Jamani tunaomba Viongozi serikali kuu kuingilia kati.

Screenshot_20250217_121126.jpg
 
Back
Top Bottom