Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
hakukuwepo bidhaaa zingine mkuuHahaha, be honest, kwann uliamua kumnunulia chupi na Si kitu kingine?
Uyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?miss natafuta kaleta mada kwa kutumwa au ni yeye na kama ni yeye je yeye ni wa kiume
Wee ndio juzi ulikua unatafuta binti wa chuo mzuri na msafi uishi nae.. Nauliza tuu lkn.
Hivi mpaka karne hii bado kuna wanawake wanavaa chupi?kuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina.ana roho nzuri sana .tunaelewana sana kiaina.
alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa
asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mya unafua nini?
huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwaiyo anajua mambo mengi
je chupi mpya haifuliwi?
Wapo wengi humu kuna mtu kani black hash eti nimesemea wanaotafuta wachumba wakimwona Mshana jr. wataachana na wachumba wao, kaja na maneno siyo mazuri halafu akasema utawezaje kututag. Kama mnavyojua kuna id kama lizabon na motochini tunabishana ila siyo kwa uadui ni mitazamo tu, huyu kanijia juu wakati kaja na id tofauti nimeuuliza wewe una id ngapi? Siku zote nadhani motochini ni mwanamme na lizaboni sasa najibiwa na ke kwa maneno siyo mazuri nimeshangaa. Mimi ni KE tena dada yake na Mshana jr.(siyo damu ila karibia) ila mimi siyo mlozi mimi ni atheist. Ups huwa naenda kanisani saa nyingine vikishuka.miss natafuta kaleta mada kwa kutumwa au ni yeye na kama ni yeye je yeye ni wa kiume
Yaani notoke Marks and Spenser halafu niende kufua chupi yangu hata kama ni next sifui labda mitumba na sivai ng'o.mitumba mipya?
Yaani notoke Marks and Spenser halafu niende kufua chupi yangu hata kama ni next sifui labda mitumba na sivai ng'o.