Uvaaji wa kofia huathiri ukuaji wa nywele?

Uvaaji wa kofia huathiri ukuaji wa nywele?

Bigbootylover

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
2,847
Reaction score
1,828
Msaada kwa mwenye uelewa, hivi ukiwa unavaa kofia mara kwa mara inaweza kuathiri ukuaji wa nywele, hasa kwa wale wenye viwalaza/upara unaoanza? Marasta mbona huvaa kofia muda mwingi? Watu wengine pia mbona huvaa kofia muda wote na nywele ziko vizuri tu. Msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom