Uvaaji wa magauni mafupi, vimini, kikaptula

mguu ni majaaliwa.....vaa kimini kama unapenda.
 
mguu ni majaaliwa.....vaa kimini kama unapenda.
Hatuzungumzii miguu ya kawaida mfano demu una miguu ina makovu km jambazi sasa janani kimini tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hatuzungumzii miguu ya kawaida mfano demu una miguu ina makovu km jambazi sasa janani kimini tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
makovu? kuna mdada ana manyoa mguuni na vazi lake pendwa ni kimini.
 
Hatuzungumzii miguu ya kawaida mfano demu una miguu ina makovu km jambazi sasa janani kimini tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
zamani nilikuwwa naogopa kuvaa vimini kisa mguu mbaya ila siku hizi najiachia tu tena navaa na viatu virefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…