BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Habari wapendwa,
Kuna huu mtindo nauona kwa watu wa mjini Dar wakiongozwa na wasanii kuvaa miwani ya jua usiku tena hata kwenye kumbi za starehe na club.
Je ni ujanja au ulimbukeni nisaidieni mimi wa mkoani.
Wale wenye picha wekeni ila kuweka ushahidi wa hiki nilichokisema.
Kuna huu mtindo nauona kwa watu wa mjini Dar wakiongozwa na wasanii kuvaa miwani ya jua usiku tena hata kwenye kumbi za starehe na club.
Je ni ujanja au ulimbukeni nisaidieni mimi wa mkoani.
Wale wenye picha wekeni ila kuweka ushahidi wa hiki nilichokisema.