Habari zenu,
Naomba kujuzwa jamani,
Mimi sina matatizo ya macho ila nilitamani kuvaa miwani za kawaida tu {zab kununua kwa machinga}. Ila tatizo linakuja, kwanini kila miwani ninayoijaribisha naona kama inakiji-lens ya kuvuta kwa mbali?
Yaani ukiiweka miwani yoyote usawa wa macho alafu ukachagua kukiangalia kitu chochote kwa usawa wamiwani na kwa macho ya kawaida utaona ukiweka miwani kitu kinavutwa kidogo.
SASA HII INATOKANA NA NINI? MANAKE NI KWA MIWANI ZOTEE HATA ZILE TINTED.
Mfano mzuri mimi nimenunua miwani na maelezo kwenye sticker yanasema (UV-400PROTECTION)
Je, hiyo ni salama kwa kuvaa?
Je, kuna madhara yoyote ya kuvaa miwani zile zenye kioo transparent (kisicho tinted)
NAOMBENI MSAADA JAMANI
Naomba kujuzwa jamani,
Mimi sina matatizo ya macho ila nilitamani kuvaa miwani za kawaida tu {zab kununua kwa machinga}. Ila tatizo linakuja, kwanini kila miwani ninayoijaribisha naona kama inakiji-lens ya kuvuta kwa mbali?
Yaani ukiiweka miwani yoyote usawa wa macho alafu ukachagua kukiangalia kitu chochote kwa usawa wamiwani na kwa macho ya kawaida utaona ukiweka miwani kitu kinavutwa kidogo.
SASA HII INATOKANA NA NINI? MANAKE NI KWA MIWANI ZOTEE HATA ZILE TINTED.
Mfano mzuri mimi nimenunua miwani na maelezo kwenye sticker yanasema (UV-400PROTECTION)
Je, hiyo ni salama kwa kuvaa?
Je, kuna madhara yoyote ya kuvaa miwani zile zenye kioo transparent (kisicho tinted)
NAOMBENI MSAADA JAMANI