Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Watakuuliza mbona kina bush man walivaa vyakuziba mbele tu..?Jamani ,dah...
Wanaume wanavaa kaputula fupi sanaa.. halafu wanatembea mchana kweupe kabisa na wake zao na watoto...hasa mikoa ya Pwani.
Mkuu kama huna miguu mizuri ya kuvalia vikaptula,Jamani ,dah...
Wanaume wanavaa kaputula fupi sanaa.. halafu wanatembea mchana kweupe kabisa na wake zao na watoto...hasa mikoa ya Pwani.
Mbona hata wanawake baadhi yenu wanavaa vipensi tena vile vya kuchezea mpiraJamani ,dah...
Wanaume wanavaa kaputula fupi sanaa.. halafu wanatembea mchana kweupe kabisa na wake zao na watoto...hasa mikoa ya Pwani.
Viashiria vya ushogaJamani ,dah...
Wanaume wanavaa kaputula fupi sanaa.. halafu wanatembea mchana kweupe kabisa na wake zao na watoto...hasa mikoa ya Pwani.
KhaaaahViashiria vya ushoga
Wauzaji wa nn?Dresscode ya wauzaji
BackWauzaji wa nn?
Siku hizi misuli sio fasheni tena.. Ile ilikuwa inasitiri mabushaJamani ,dah...
Wanaume wanavaa kaputula fupi sanaa.. halafu wanatembea mchana kweupe kabisa na wake zao na watoto...hasa mikoa ya Pwani.
Nitawajibu ilikuwa b4 civilizationWatakuuliza mbona kina bush man walivaa vyakuziba mbele tu..?
Hii mambo imekuwa siyo poa kabisa yani sema ndiyo hivyo tena ukisema tu wanakuona mnokoJamani ,dah...
Wanaume wanavaa kaputula fupi sanaa.. halafu wanatembea mchana kweupe kabisa na wake zao na watoto...hasa mikoa ya Pwani.