Uvamizi wa wamachinga vituo vya daladala Kimara-Kibo

Uvamizi wa wamachinga vituo vya daladala Kimara-Kibo

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Serikali imeendelea kuwa kimya kuhusiana na suala la wamachinga na wafanya biashara ndogo ndogo. Kadiri muda unavyozidi kusonga ndivyo hali inazidi kuwa mbaya.

Baada ya sehemu wa watembea kwa miguu kuvamiwa na wafanyabiashara ndogondogo hasa Jijini Dar es salaam sasa ni zamu ya vituo vya daladala ni jambo la kushamgaza kuona watu wanaweka vibanda vya biashara sehemu ambayo abiria wanapaswa kusimama au kukaa ili kusubiria usafiri, mwisho wa siku itawalazimu abiria waanze kusimama barabarani.

IMG_20210614_073223.jpg
 
Baada ya sehemu wa watembea kwa miguu kuvamiwa na wafanyabiashara ndogondogo hasa Jijini Dar es salaam sasa ni zamu ya vituo vya daladala ni jambo la kushamgaza kuona watu wanaweka vibanda vya biashara sehemu ambayo abiria wanapaswa kusimama au kukaa ili kusubiria usafiri, mwisho wa siku itawalazimu abiria waanze kusimama barabarani.
Halafu ukisimama hapo unasubiri usafiri anakuja mtu anakuambia "oya!!! huoni kama unaziba biashara hapo uliposimama"
 
Halafu ukisimama hapo unasubiri usafiri anakuja mtu anakuambia "oya!!! huoni kama unaziba biashara hapo uliposimama"
Wamewalea Sana, kila mahali ni hivyo. Ngoja waje wazibe na barabara ya ikulu!
 
Unoko tu, waacheni wenzenu watafute riziki.

Sie kina HARUFU tumeanzia biashara huko huko kwenye umachinga
 
Back
Top Bottom