DOKEZO UVCCM chuo cha Mwalimu Nyerere wanatumia rasimali za chuo kwa shughuli za kisiasa ni kinyume utaratibu wa chuo

DOKEZO UVCCM chuo cha Mwalimu Nyerere wanatumia rasimali za chuo kwa shughuli za kisiasa ni kinyume utaratibu wa chuo

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Uongozi wa CHASO yaani Chadema students Organization umeshuhudia uvunjifu wa Sheria unaoenda kufanyika katika chuo cha Mwalimu Nyerere baada ya kufatilia ilo uongozi uliandika barua kwenda kwa mlezi wa wanafunzi yaani Dean of student ukimtaka kuzuia shughuli inayoenda kufanyika chuoni hapo na vijana wa UVCCM kufanya shughuli hizo ndani ya chuo na kutumia rasimali za chuo kwa shughuli za kisiasa ni kinyume na uvunjifu wa sheria .
Rejea ibara ya 51 ya sheria za vyuo .

Baada ya kuandika barua hiyo na kutumwa chuoni uongozi umedai barua iandikwe kwenda kwa mkuu wa chuo na umedai mkuu wa chuo hatokuwepo kwa muda wa wiki moja kwa kufanya vile ni kutaka kukwepa ili shughuli hizo zifanyike na CHASO wanalaani kauli hiyo kwani ikitokea wao wakafanya shughuli kama hizo chuoni wanazuiliwa na kuchukuliwa hatua hivyo inaonyesha kunyongwa kwa democracy.

Nimeambatanisha tangazo la tukio linaloenda kufanyika chuoni hapo na barua iliyoandikwa na chaso
Tunaomba Jamii Forums mpaze sauti kukemea swala hilo.

inbound3326801032130139524.jpg


inbound2364621930715651625.jpg
 
CCM wana mkono mrefu kila mahali, si rahisi sana kuwazuia. Mkuu mwenyewe wa chuo mwanaccm
 
Uongozi wa CHASO yaani Chadema students Organization umeshuhudia uvunjifu wa Sheria unaoenda kufanyika katika chuo cha Mwalimu Nyerere baada ya kufatilia ilo uongozi uliandika barua kwenda kwa mlezi wa wanafunzi yaani Dean of student ukimtaka kuzuia shughuli inayoenda kufanyika chuoni hapo na vijana wa UVCCM kufanya shughuli hizo ndani ya chuo na kutumia rasimali za chuo kwa shughuli za kisiasa ni kinyume na uvunjifu wa sheria .
Rejea ibara ya 51 ya sheria za vyuo .

Baada ya kuandika barua hiyo na kutumwa chuoni uongozi umedai barua iandikwe kwenda kwa mkuu wa chuo na umedai mkuu wa chuo hatokuwepo kwa muda wa wiki moja kwa kufanya vile ni kutaka kukwepa ili shughuli hizo zifanyike na CHASO wanalaani kauli hiyo kwani ikitokea wao wakafanya shughuli kama hizo chuoni wanazuiliwa na kuchukuliwa hatua hivyo inaonyesha kunyongwa kwa democracy.

Nimeambatanisha tangazo la tukio linaloenda kufanyika chuoni hapo na barua iliyoandikwa na chaso
Tunaomba Jamii Forums mpaze sauti kukemea swala hilo.

View attachment 3260968

View attachment 3260969
chuo ilipaswa kubakia kuwa sehem ya elimu tu , siasa zifanyike baada ya kuhitimu. migawanyiko hii vyuon sio mizuri
 
Kwani hicho mali ya nani? Unaweza mzuia mwenye mali kutumia mali yake?
 
Back
Top Bottom