Pre GE2025 UVCCM Geita: Hakuna atakayezuia Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Pre GE2025 UVCCM Geita: Hakuna atakayezuia Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakuna mtu ambaye atazuia wala kuleta vurugu katika uchaguzi huo huku Jumuiya hiyo ikiwaonya baadhi ya Viongozi wa vyama vya upinzani wanaotishia kuvuruga uchaguzi huo kuacha mara moja.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo ya UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo wakati wa ziara yake ya kutembelea kata mbalimbali za Mkoa wa Geita ili kujua uhai wa Jumuiya hizo sambamba na kuwataka vijana kushiriki katika fursa za Mikopo ya asilimia 10 na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.

Soma, Pia
 
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakuna mtu ambaye atazuia wala kuleta vurugu katika uchaguzi huo huku Jumuiya hiyo ikiwaonya baadhi ya Viongozi wa vyama vya upinzani wanaotishia kuvuruga uchaguzi huo kuacha mara moja.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo ya UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo wakati wa ziara yake ya kutembelea kata mbalimbali za Mkoa wa Geita ili kujua uhai wa Jumuiya hizo sambamba na kuwataka vijana kushiriki katika fursa za Mikopo ya asilimia 10 na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Ukiangalia vizuri unaweza kuta hata uraia wake ni wa mashaka.

Wamejaa sana huko Geita watu wa namna hii ambao wanajifanya CCM damu.
 
"Kushiriki fursa ya mikopo ya Asilimia 10 na kushiriki uchaguzi"

Hii ndo ilitakiwa iwe title mkuu
 
Ukiangalia vizuri unaweza kuta hata uraia wake ni wa mashaka.

Wamejaa sana huko Geita watu wa namna hii ambao wanajifanya CCM damu.
Jina la Magambo ni la watu wa Musoma. Hata hilo jina lake la kwanza linafanana na majina ya watu wa Musoma.
 
Jina la Magambo ni la watu wa Musoma. Hata hilo jina lake la kwanza linafanana na majina ya watu wa Musoma.
Usidanganywe na majina bob.

Nawafahamu wasukuma na wakurya kadhaa ambao ni watu wa Burundi na Rwanda. Majina yao ni makabila hayo, lakini waliingia zamani wakiwa wadogo.

Mmojawapo ni mke wa jirani yetu mnyarwanda kwa asili lakini kwao Musoma na ana majina ya kikurya, aliingia akiwa mdogo baada ya ile genocide ambayo iliua karibu ukoo wake mzima.

Mwingine msukuma fulani wa simiyu, alifanya hadi mafunzo ya mgambo akahitimu, lakini ni mrundi aliyeingia akiwa dogo. Mkimya sana kwa sababu kiswahili kinamchanganya, ila anapiga kisukuma kama maji na huwezi kumstukia kirahisi.
 
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakuna mtu ambaye atazuia wala kuleta vurugu katika uchaguzi huo huku Jumuiya hiyo ikiwaonya baadhi ya Viongozi wa vyama vya upinzani wanaotishia kuvuruga uchaguzi huo kuacha mara moja.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo ya UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo wakati wa ziara yake ya kutembelea kata mbalimbali za Mkoa wa Geita ili kujua uhai wa Jumuiya hizo sambamba na kuwataka vijana kushiriki katika fursa za Mikopo ya asilimia 10 na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.

Soma, Pia
 

Attachments

  • images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    12.5 KB · Views: 1
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakuna mtu ambaye atazuia wala kuleta vurugu katika uchaguzi huo huku Jumuiya hiyo ikiwaonya baadhi ya Viongozi wa vyama vya upinzani wanaotishia kuvuruga uchaguzi huo kuacha mara moja.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo ya UVCCM Mkoa wa Geita, Manjale Magambo wakati wa ziara yake ya kutembelea kata mbalimbali za Mkoa wa Geita ili kujua uhai wa Jumuiya hizo sambamba na kuwataka vijana kushiriki katika fursa za Mikopo ya asilimia 10 na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.

Soma, Pia
Manjale Magambo, unafanya kazi Gani hapo Geita,ya kukuingizia kipato ?

Ukumbuke, Geita hakuna maji safi na salama, hakuna barabara, wizi Kila Kona.

CCM imewasaidia nini Geita?
 
Hizo propaganda za Wapinzani wataleta vurugu, Wapinzani wakipewa nchi wataleta vita bado zipo?
 
Usidanganywe na majina bob.

Nawafahamu wasukuma na wakurya kadhaa ambao ni watu wa Burundi na Rwanda. Majina yao ni makabila hayo, lakini waliingia zamani wakiwa wadogo.

Mmojawapo ni mke wa jirani yetu mnyarwanda kwa asili lakini kwao Musoma na ana majina ya kikurya, aliingia akiwa mdogo baada ya ile genocide ambayo iliua karibu ukoo wake mzima.

Mwingine msukuma fulani wa simiyu, alifanya hadi mafunzo ya mgambo akahitimu, lakini ni mrundi aliyeingia akiwa dogo. Mkimya sana kwa sababu kiswahili kinamchanganya, ila anapiga kisukuma kama maji na huwezi kumstukia kirahisi.
Huenda uko sahihi. Wanatakiwa kushughulikiwa na kurudishwa nchi zao hizo.
 
Tanzania imebinafsishwa kwa UVCCM mpaka wanakua na jeuri ya kuja na matamshi kama haya. Ikumbukwe Tanzania sio ya UVCCM bali ni mali ya watanzania, msijisahau sana mpaka mnataka kujimilikisha nchi. Naona mnajisahau sana na kuona Tanzania kama ni mali yenu. Huko ni kulewa hivyo vijinafasi mlivyopewa. Eti hakuna wa kuzuia, who are you by the way katika nchi kama sio ujinga na kulewa madaraka. Kumbukeni vyeo ni kama koti la kuazimwa. Mnakera sana na tunawaangalia kwa mbali.
 
Back
Top Bottom