peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
DIRISHA LIMEFUNGULIWA, NJOO TUKUSAIDIE KUFANYA APPLICATION ZA MKOPO BODI YA MIKOPO HESLB.
Contacts:- 0627799285. Katibu Seneti Mkoa
Habari!
Dirisha la Kufanya Maombi ya Mikopo Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) limefunguliwa.
Uongozi wa UVCCM kupitia Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Seneti (M) Kilimanjaro kwa kutambua kuwa Waombaji wengi wamekuwa wakipata Changamoto ya Kufanya Maombi kwa Usahihi, tumejiandaa Kuwasaidia Wanafunzi wote wanaotarajia kufanya Application HESLB bila Kujali itikadi za Kisiasa, na Usaidizi huo utafanyika Bure bila Malipo.
Hivyo kwa Mwanafunzi au Mwananchi yeyote anayehitaji kufanya LOAN APPLICATION HESLB karibu Ofisi za UVCCM (M) Kilimanjaro na Utapata Usaidizi na kufanyiwa Application bila Malipo.
Ni kila siku za Kazi kuanzia Saa tano asubuhi Mpaka Saa tisa Jioni.
Kwa Mawasiliano au Maulizo Wasiliana na Katibu Seneti Mkoa No. 0627799285
Goodluck N. Bosha.
KARIBU TUJENGE TAIFA IMARA PAMOJA. WEWE NDIO FUTURE.
Contacts:- 0627799285. Katibu Seneti Mkoa
Habari!
Dirisha la Kufanya Maombi ya Mikopo Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) limefunguliwa.
Uongozi wa UVCCM kupitia Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Seneti (M) Kilimanjaro kwa kutambua kuwa Waombaji wengi wamekuwa wakipata Changamoto ya Kufanya Maombi kwa Usahihi, tumejiandaa Kuwasaidia Wanafunzi wote wanaotarajia kufanya Application HESLB bila Kujali itikadi za Kisiasa, na Usaidizi huo utafanyika Bure bila Malipo.
Hivyo kwa Mwanafunzi au Mwananchi yeyote anayehitaji kufanya LOAN APPLICATION HESLB karibu Ofisi za UVCCM (M) Kilimanjaro na Utapata Usaidizi na kufanyiwa Application bila Malipo.
Ni kila siku za Kazi kuanzia Saa tano asubuhi Mpaka Saa tisa Jioni.
Kwa Mawasiliano au Maulizo Wasiliana na Katibu Seneti Mkoa No. 0627799285
Goodluck N. Bosha.
KARIBU TUJENGE TAIFA IMARA PAMOJA. WEWE NDIO FUTURE.