Pre GE2025 UVCCM imejipanga kujibu mapigo kwa hoja kuelekea uchaguzi

Pre GE2025 UVCCM imejipanga kujibu mapigo kwa hoja kuelekea uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji kutoka Umoja wa vijana UVCCM Taifa, CDE Jessica Mshana amesema umoja huo upo tayari kujibu hoja mbalimbali zitakazotowela juu ya chama hicho, kuelekea katika uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amebainisha hayo jijini Dodoma CDE Jessica Mshama baada ya kupokelewa makao makuu ya UVCCM Taifa jijini hapo huku akiwataka Vijana wa chama hicho kushirikiana katika kutekeleza maagizo na maelekezo yote yanayotolewa na viongozi wa juu kwa vitendo, nidhamu na utii katika kulijenga taifa.

 
Vijana wote wa UVCCM ni njaa tu zinawasumbua, wanaamini wakiwa huko ndyo watapata ajira na viposho vya hapa na pale.
 
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji kutoka Umoja wa vijana UVCCM Taifa, CDE Jessica Msgana amesema umoja huo upo tayari kujibu hoja mbalimbali zitakazotowela juu ya chama hicho, kuelekea katika uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Amebainisha hayo jijini Dodoma CDE Jessica Mshama baada ya kupokelewa makao makuu ya UVCCM Taifa jijini hapo huku akiwataka Vijana wa chama hicho kushirikiana katika kutekeleza maagizo na maelekezo yote yanayotolewa na viongozi wa juu kwa vitendo, nidhamu na utii katika kulijenga taifa.

Hoja ya TL sio size yao.....watulizane wataharibuu kabisaaas
 
Back
Top Bottom