upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji kutoka Umoja wa vijana UVCCM Taifa, CDE Jessica Mshana amesema umoja huo upo tayari kujibu hoja mbalimbali zitakazotowela juu ya chama hicho, kuelekea katika uchaguzi Mkuu mwaka huu.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amebainisha hayo jijini Dodoma CDE Jessica Mshama baada ya kupokelewa makao makuu ya UVCCM Taifa jijini hapo huku akiwataka Vijana wa chama hicho kushirikiana katika kutekeleza maagizo na maelekezo yote yanayotolewa na viongozi wa juu kwa vitendo, nidhamu na utii katika kulijenga taifa.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amebainisha hayo jijini Dodoma CDE Jessica Mshama baada ya kupokelewa makao makuu ya UVCCM Taifa jijini hapo huku akiwataka Vijana wa chama hicho kushirikiana katika kutekeleza maagizo na maelekezo yote yanayotolewa na viongozi wa juu kwa vitendo, nidhamu na utii katika kulijenga taifa.